Sijachaguliwa na nina GPA ya 4.0

Sijachaguliwa na nina GPA ya 4.0

Pole mkuu, kilichokukuta ndicho kimenikuta na mimi. Nina GPA ya zaidi ya 4, o level Nina credits zote tisa. Halafu nimeambiwa not eligible kwenye kozi zote nilizoomba. Nimesoma diploma ya mifugo na niliomba kozi ambazo ni mwendelezo wa mifugo (veterinary medicine, animal science, fisheries, beekeeping) sasa nashindwa kuwaelewa NACTE wanataka nini haswa.
 
Pole mkuu, kilichokukuta ndicho kimenikuta na mimi. Nina GPA ya zaidi ya 4, o level Nina credits zote tisa. Halafu nimeambiwa not eligible kwenye kozi zote nilizoomba. Nimesoma diploma ya mifugo na niliomba kozi ambazo ni mwendelezo wa mifugo (veterinary medicine, animal science, fisheries, beekeeping) sasa nashindwa kuwaelewa NACTE wanataka nini haswa.
Ukiona inazidi kukusumbua nenda ofisi zao ni suluhisho alilowahi kulitumia rafiki yangu.
 
Pole mkuu, kilichokukuta ndicho kimenikuta na mimi. Nina GPA ya zaidi ya 4, o level Nina credits zote tisa. Halafu nimeambiwa not eligible kwenye kozi zote nilizoomba. Nimesoma diploma ya mifugo na niliomba kozi ambazo ni mwendelezo wa mifugo (veterinary medicine, animal science, fisheries, beekeeping) sasa nashindwa kuwaelewa NACTE wanataka nini haswa.
NACTE wanakujaribu....alafu hujaribiwi.
 
Yaan sijui hawa NACTE wanaangalia nn..!! Nina GPA 4.2 ya Mechanical Engineering wananiambia NOT ELIGIBLE tena sina Minimum Requirements wakat O'level nina vigezo walivokuwa wanavitaka..!!
Ngoja nione na hii Third Round itakuaje...!!!
 
Yaan sijui hawa NACTE wanaangalia nn..!! Nina GPA 4.2 ya Mechanical Engineering wananiambia NOT ELIGIBLE tena sina Minimum Requirements wakat O'level nina vigezo walivokuwa wanavitaka..!!
Ngoja nione na hii Third Round itakuaje...!!!
Nenda ofisini kwao physically.. usifanye gamble tena kwa hii round ya tatu.. haiyumkini ni ya mwisho... funga safari ukawadai muongozo macho kwa macho... goodluck
 
Back
Top Bottom