Sijabahatika kumpata mke mwenye mwema

Sijabahatika kumpata mke mwenye mwema

Wapo wema duninani sema tu macho ya mwili hayajaona unahitaji uwe namacho ya rohoni ndipo utawaona wema walioduniani hapa

hapo kwenye kuwaona ndiyo utata unapoanzia, hayo macho ya rohoni tunayapataje?
 
Naomba kueleza kuwa bado sijabahatika kumpata mke mwema hadi sasa, kwangu mimi ni mwajiriwa, nina miaka 28 hadi sasa na elimu ya chuo kikuu, nipo kanda ya ziwa, nahitaji mwanamke aliye na kazi au anayetegemea kupata kazi, sichagui kabila ila awe na hofu ya Mungu, ajiheshimu na awe mwelewa, elimu yake awe kuanzia form 6 na kuendelea, mrefu wa wastani na mwembamba, Miaka awe kuanzia 24-27 tu.

Aliye tyr n-PM.




Note: Awe anajiheshimu, na mwelewa,

Patience is virtue, kwa mtazamo wangu ndoa si jambo la haraka japo ni msingi wa maisha ya familia na taifa kwa ujumla, kwa hiyo kama bado haujapata kaka take your time, endelea kufurahia ukapera wakati mke sahihi anaandaliwa na Bwana kwa ajili yako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom