Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,295
Una hela wewe hebu weka CV yako ndo tuje pm
Una hela wewe hebu weka CV yako ndo tuje pm
hahaha duu! pesa kwanza...
Mmmmh!!!!
Usikatishwe tamaa umri wako bado mdogo na utampata . Licha ya mitandaoni nakushauri kujiahidi kujichanganya katika jamii. Kwenda kwenye nyumba za ibada hata kushirikisha viongozi wa ibada na watu wazima wastaarabu waambie hitaji lako wanaweza kukusaidia kupaa mwenza Kuna dhana potofu ya kudharau kuunganishwa hakika nakuambia ukimweleza mtu anaekufahamu atakuchagulia match yako. Mi na mifano mingi ya watu kuuunganishwa wamedumu mpaka leo tena kwa maisha ya furaha .All he best.[/QUOTE]Note: Awe anajiheshimu, na mwelewa,
Oa binti ambaye baba yake anaitwa Mwema huyo lazima atakuwa mwema tu usihofu kumpata mwema.
Napita
hiyo sifa ya mwisho inayosema na awe mwembamba iweke iwe probability kwa sababu hawatabiriki. Unaweza kumuoa akiwa 1gb lakini akizaa simtank linaafadhali
Salama mkuu??
Una hela wewe hebu weka CV yako ndo tuje pm
Shosti hakuna njia huko fanya urudi tu
salama mkuu...bila shaka nawe u kheri wa afya
Mamafacebook nilikumiss ngoja nilud mie