Sijabahatika kumpata mke mwenye mwema

Sijabahatika kumpata mke mwenye mwema

Brigedia Chan-ocha

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2014
Posts
1,353
Reaction score
2,851
Naomba kueleza kuwa bado sijabahatika kumpata mke mwema hadi sasa, kwangu mimi ni mwajiriwa, nina miaka 28 hadi sasa na elimu ya chuo kikuu, nipo kanda ya ziwa, nahitaji mwanamke aliye na kazi au anayetegemea kupata kazi, sichagui kabila ila awe na hofu ya Mungu, ajiheshimu na awe mwelewa, elimu yake awe kuanzia form 6 na kuendelea, mrefu wa wastani na mwembamba, Miaka awe kuanzia 24-27 tu.

Aliye tyr n-PM.




Note: Awe anajiheshimu, na mwelewa,
 
lakini umepata mke mbaya? je ubaya wa huyo upo wapi ili tujichanganue huku
 
Ukiona humpati jaribu kupitia upya Terms & Conditions KK!!!
Mungu akupe jicho penye udongo mwema mbegu njema ukazipande na kustawi kwa baraka za Mungu!!!
 
Naomba kueleza kuwa bado sijabahatika kumpata mke mwema hadi sasa, kwangu mimi ni mwajiriwa, nina miaka 28 hadi sasa na elimu ya chuo kikuu, nipo kanda ya ziwa, nahitaji mwanamke aliye na kazi au anayetegemea kupata kazi, sichagui kabila ila awe na hofu ya Mungu, ajiheshimu na awe mwelewa, elimu yake awe kuanzia form 6 na kuendelea, mrefu wa wastani na mwembamba, Miaka awe kuanzia 24-27 tu.

Aliye tyr n-PM.

Usikatishwe tamaa umri wako bado mdogo na utampata . Licha ya mitndaoni nakushauri kujiahidi kujichanganya ktika jamii. Kwenda kwenye nyumba za ibada hata kushirikisha viongozi wa ibada na watu wazima wastaarabu waambie hitaji lako wanaweza kukusaidia kupaa mwenza Kuna dhana potofu ya kudharau kuunganishwa hakika nakuambia ukimweleza mtu anaekufahamu atakuchagulia match yako. Mi na mifano mingi ya watu kuuunganishwa wamedumu mpakaleo tena kwa maisha ya furaha .All he best.




Note: Awe anajiheshimu, na mwelewa,






Note: Awe anajiheshimu, na mwelewa,[/QUOTE]
Usikatishwe tamaa umri wako bado mdogo na utampata . Licha ya mitandaoni nakushauri kujiahidi kujichanganya katika jamii. Kwenda kwenye nyumba za ibada hata kushirikisha viongozi wa ibada na watu wazima wastaarabu waambie hitaji lako wanaweza kukusaidia kupaa mwenza Kuna dhana potofu ya kudharau kuunganishwa hakika nakuambia ukimweleza mtu anaekufahamu atakuchagulia match yako. Mi na mifano mingi ya watu kuuunganishwa wamedumu mpaka leo tena kwa maisha ya furaha .All he best.
 
Note: Awe anajiheshimu, na mwelewa,
Usikatishwe tamaa umri wako bado mdogo na utampata . Licha ya mitandaoni nakushauri kujiahidi kujichanganya katika jamii. Kwenda kwenye nyumba za ibada hata kushirikisha viongozi wa ibada na watu wazima wastaarabu waambie hitaji lako wanaweza kukusaidia kupaa mwenza Kuna dhana potofu ya kudharau kuunganishwa hakika nakuambia ukimweleza mtu anaekufahamu atakuchagulia match yako. Mi na mifano mingi ya watu kuuunganishwa wamedumu mpaka leo tena kwa maisha ya furaha .All he best.[/QUOTE]
 
Note: Awe anajiheshimu, na mwelewa,
Usikatishwe tamaa umri wako bado mdogo na utampata . Licha ya mitandaoni nakushauri kujiahidi kujichanganya katika jamii. Kwenda kwenye nyumba za ibada hata kushirikisha viongozi wa ibada na watu wazima wastaarabu waambie hitaji lako wanaweza kukusaidia kupaa mwenza Kuna dhana potofu ya kudharau kuunganishwa hakika nakuambia ukimweleza mtu anaekufahamu atakuchagulia match yako. Mi na mifano mingi ya watu kuuunganishwa wamedumu mpaka leo tena kwa maisha ya furaha .All he best.[/QUOTE]

naikumbuka sana, ndo maana nimeamua kulegeza vigezo.
 
kwa hiyo miaka ni ngumu kupata, wengi wanawatu wao.... fanya 30-37 ungekua ushamiminiwa pm za kutosha, btw huwa wanapay bills wenyewe
 
Naomba kueleza kuwa bado sijabahatika kumpata mke mwema hadi sasa, kwangu mimi ni mwajiriwa, nina miaka 28 hadi sasa na elimu ya chuo kikuu, nipo kanda ya ziwa, nahitaji mwanamke aliye na kazi au anayetegemea kupata kazi, sichagui kabila ila awe na hofu ya Mungu, ajiheshimu na awe mwelewa, elimu yake awe kuanzia form 6 na kuendelea, mrefu wa wastani na mwembamba, Miaka awe kuanzia 24-27 tu.

Aliye tyr n-PM.




Note: Awe anajiheshimu, na mwelewa,

Oa binti ambaye baba yake anaitwa Mwema huyo lazima atakuwa mwema tu usihofu kumpata mwema.
 
Yuko njiani anakuja,nawe ni mwema? Maana utapata wa kufanana na wewe
 
Hakuna aliye mwema ila Mungu peke yake
 
Simba huwa anawinda na uzuri wa kuwinda unapata vilivyonona...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom