Strong and Fearless
JF-Expert Member
- Apr 24, 2017
- 890
- 2,203
- Thread starter
-
- #181
Mie binafsi sijawahi kujitutumua. Niliwahi kumtoa Demu wa Kishua pale Buguruni Sheli na sikuona shida.
Yeye alidai nimempeleka yenye hadhi ndogo. Mi sikujali nilijisimamia kama mimi kwa upande wangu enzi hizo nikiwa mwanachuo yeye baba yake akiwa Senior Lecturer.
Hata hivyo tulikula Mchemsho wa Ndizi na Mbuzi na Soda. Usiku tukageuza.
Dada Angel kama uko humu thibitisha hili.
Angel huyu alikuwa anapenda sana Maisha ya juu. Clubs kila weekend. Msosi Lunch anakula wa elfu kumi mimi Booom napata elfu 5. Ningejitutumua vipi?
Sema she liked me than my money. We drove our love hadi watu wakashangaa
Unatakiwa ujiongeze na wewe, mwanamme anapokwambia chagua ujue anakupima akili yako.
Amegundua wewe hujiongezi ndio maana amefakamia chakula, amejua hutakuwa wake ndio maana ameona badala ya kukosa vyote bora ale chakula tu
Kwamba Kuna Wana miondoko ya ajee ata mm sijaelewa4.jinsi ya kutembea
Uko serious kweli
Hata wewe ni drama queen tu, mlikutana pipa na mfunikoNa mm nimegundua hajitambui na hajielewi na haishi maisha halisi na mimi pia sihitaji mtu kama huyoo
Kwamba Kuna Wana miondoko ya ajee ata mm sijaelewa
Mkuu, we endelea kuwapaka mafuta tu kama watu wenyewe ndio hawa.Inaonekana hilo jambo limekupa hadi Stress kufanya ukose na Usingizi, maana hadi kuandika mada hii saa 12:44 AM sio mchezo.
Wakati mwingine, Mwanaume anaweza kukupima kama u-mchoyo kwa vitu kama hivyo.
Kama yeye aliyegharamia kununua hicho chakula unataka kumnyima, Vipi ikitokea amekuoa.
Ndugu zake kweli unaweza kuwaandalia chakula, ama utaishia kuwafukuza?
Kama unaanza Uchoyo mkiwa kwenye hatua za awali hivi, mkiingia kwenye ndoa si hautataka utembelewe hata na ndugu mmoja wa upande wa Mume?
Mkuu unataka nifie kitandani, Babu yao nimezeeka Ujue 😅Mkuu, we endelea kuwapaka mafuta tu kama watu wenyewe ndio hawa.
Agiza na asali kabisa🤣🤣🤣
Kuna wanawake wa ajabu sana duniani, wanajali kupokea tu bila kutoa chochote angalau hata upendo huo nao ni utaoaji lkn hawana pia.Mkuu unataka nifie kitandani, Babu yao nimezeeka Ujue 😅
Inaonesha huyu Binti ana asili ya Uchoyo, akiendelea hivi kuna siku atamnyima hadi Chakula cha Usiku Mume wake 🤪
Ungeenda na hela zako ukalipia ILI aonekane fala zaidi lakini kama kalipia yeye mwenyewe na kala yeye Bas we ndio una MATATIZO!!!Yani mwanaume anaku ask for a date halafu yeye mwenyewe anakwambia chagua any place you want unachagua anakupeleka then anakwambia order anything you want una order zako your food and wine then yeye Ana order maji tu.
Ukimuuliza Kwann anajifanya nimeshiba halafu ukimkaribisha icho chakula anajifanya Ngoja nionje tu mwisho wa siku mnaenda pasu kwa pasu.
Yaani kaniudhi nilivoona anakula sana nikajifanya Mimi nipo kwenye diet nimeshiba, bila aibu kamaliza chote wakati before alisema ameshiba.
Jamani wanaume kujitutumua kwingine hakufai khaaaaaa.
Mtu si bora uwe mkweli tu mimi I can’t afford izo places ntakuelewa kuliko Hii embarrassment.
Nimefuta his number sitaki tena kumuona wala kuwasiliana naye.
Ungekuwa na pesa ungeagiza kwa ajili yake ili kuondoa hiyo aibu huko kwa date yenu, inaonekana hata wewe hukuwa na mia mbovu ya kuagiza.Mimi I don’t have an issue kutumia my money ndo maana am working to earn my own money and be independent woman
Shida yy kujitutumua kumbe hayuko ivo
Huyo binti hafai kuolewa wala kufanywa Mchumba, vinginevyo aache tabia yake ya uchoyo.Kuna wanawake wa ajabu sana duniani, wanajali kupokea tu bila kutoa chochote angalau hata upendo huo nao ni utaoaji lkn hawana pia.
Ona anasema hamtaki tena.
Huyu ni Slayqueen mwaminifu kabisa.
Pili wewe huna uzee wowote.
Tuma nauli wakufuate newforce zimejaa mkuu lkn wanapokuja waje na asali na mafuta😂😂😂
Pole sana mkuuYani mwanaume anaku ask for a date halafu yeye mwenyewe anakwambia chagua any place you want unachagua anakupeleka then anakwambia order anything you want una order zako your food and wine then yeye Ana order maji tu.
Ukimuuliza Kwann anajifanya nimeshiba halafu ukimkaribisha icho chakula anajifanya Ngoja nionje tu mwisho wa siku mnaenda pasu kwa pasu.
Yaani kaniudhi nilivoona anakula sana nikajifanya Mimi nipo kwenye diet nimeshiba, bila aibu kamaliza chote wakati before alisema ameshiba.
Jamani wanaume kujitutumua kwingine hakufai khaaaaaa.
Mtu si bora uwe mkweli tu mimi I can’t afford izo places ntakuelewa kuliko Hii embarrassment.
Nimefuta his number sitaki tena kumuona wala kuwasiliana naye.
Hivi yule dr. wa Tabora vipi mkuu.Huyo binti hafai kuolewa wala kufanywa Mchumba, vinginevyo aache tabia yake ya uchoyo.
Inaonekana Mkuu, hunitakii mema, yaani na Uzee huu nianze kukimbizana na mabinti, Over my deadbody 😎
Nimebaki kulea wajukuu tu 😁
Pole aisee....Yani mwanaume anaku ask for a date halafu yeye mwenyewe anakwambia chagua any place you want unachagua anakupeleka then anakwambia order anything you want una order zako your food and wine then yeye Ana order maji tu.
Ukimuuliza Kwann anajifanya nimeshiba halafu ukimkaribisha icho chakula anajifanya Ngoja nionje tu mwisho wa siku mnaenda pasu kwa pasu.
Yaani kaniudhi nilivoona anakula sana nikajifanya Mimi nipo kwenye diet nimeshiba, bila aibu kamaliza chote wakati before alisema ameshiba.
Jamani wanaume kujitutumua kwingine hakufai khaaaaaa.
Mtu si bora uwe mkweli tu mimi I can’t afford izo places ntakuelewa kuliko Hii embarrassment.
Nimefuta his number sitaki tena kumuona wala kuwasiliana naye.
Atakayefanikiwa kumuimpress mwanamke nipo pale nimekaa, nitampa 1M. Hata upange kukutana naye mbinguni kasoro zitakuwepo. Vijana ishini maisha yenu, hayanaga formula hata makungwi wa kike wamewashindwa wewe ninani 🤣 🤣Mwanaume kama huyo futa namba hakufai kabisa.
Hajiamini, hana uwezo wa kuishi na wewe.pia hongera we ni mwanamke unayejielewa.
Next few wks nitakuja na series ya kuwafunda wanaume jinsi ya kuandaa mtoko wenye mafanikio kwa Mwanamke unayekutana naye kwa mara ya kwanza
Tutajadiliana vifungu vifuatavyo
1. Jinsi ya kupanga kukutana
2. Namna ya kujiandaa kukutana
3. Namna ya kuvaa siku hiyo( hakuna haja ya gharama za nguo)
4. Jinsi ya kutembea
5. Tabia na mienendo za kuwa nazo au ,a kuepuka unapokuwa n mwanamke kwa mara ya kwanza.
Ktk uzi wa Mwanadada huyu ametaja mambo mazito ambayo braza kakosea sana na imepelekea Mwanadada kumuona ni mtu wa hovyo na hafai kuwa Mwanaume wake.
Stay tuned.
Ungemwambia tu kwamba asiwe na wasiwasi bili zote utalipa, hiyo ingekua dawa yake na asingafanya hivo tena kwa mwingineYani mwanaume anaku ask for a date halafu yeye mwenyewe anakwambia chagua any place you want unachagua anakupeleka then anakwambia order anything you want una order zako your food and wine then yeye Ana order maji tu.
Ukimuuliza Kwann anajifanya nimeshiba halafu ukimkaribisha icho chakula anajifanya Ngoja nionje tu mwisho wa siku mnaenda pasu kwa pasu.
Yaani kaniudhi nilivoona anakula sana nikajifanya Mimi nipo kwenye diet nimeshiba, bila aibu kamaliza chote wakati before alisema ameshiba.
Jamani wanaume kujitutumua kwingine hakufai khaaaaaa.
Mtu si bora uwe mkweli tu mimi I can’t afford izo places ntakuelewa kuliko Hii embarrassment.
Nimefuta his number sitaki tena kumuona wala kuwasiliana naye.