2013
JF-Expert Member
- Aug 2, 2011
- 11,361
- 6,080
Nilikua mfuatiliaji wa CNN kwa muda. Hawa jamaa wamebadilika. Wanatumia muda mwingi kumkosoa Trump ama kuanzisha mdahalo wowote wenye kulenga kumkosoa Trump ama utawala wake. Umejikita kwenye pesimistic view.
sometimes wana jenga hoja za kijinga(_left wing) ili mradi Trump aonekane anakosea. Walituaminisha Trump ni mbaya na hata shinda urais. Hata hivyo wamethibitisha sii wakweli.
Trump anatumia Twitter kwakua hawaamini watu hawa. So bad. Watch Euronews kwa balance NeWS na BBC
sometimes wana jenga hoja za kijinga(_left wing) ili mradi Trump aonekane anakosea. Walituaminisha Trump ni mbaya na hata shinda urais. Hata hivyo wamethibitisha sii wakweli.
Trump anatumia Twitter kwakua hawaamini watu hawa. So bad. Watch Euronews kwa balance NeWS na BBC