Siipendi CHADEMA

Ni mpela mpela tu hadi munywe sumu wote msioipenda chadema
 
Haya ndio matokeo ya kuchanganya kilevi cha kiroba na safari ya moto

Mkuu Mingoi vipi tena.!?? tukiipenda CHADEMA mnatuponda, tumeamua kuichukia tena mnaponda.. nipe ushauri tufanye nini sasa...
 
Last edited by a moderator:
Waliamua kujilipua pale arusha ili wapigiwe kura za huruma.
 
CHADEMA haifai, imewafukuza uanachama watu muhimu MTEla na Juliana ambao kwenye chama chetu ndo wamekuwa tegemeo kuliko waliokuwepo ndani ya chama kabla...
 
Last edited by a moderator:

HIvi ndiyo CDM mmejipanga kuendeleza propaganda kwa wananchi ili nchini isitawalike? Eti CHADEMA wanatumia Polisi kuuwa wananchi? Wanausalama watiifu wanaua watu kwa kufuata sheria halali na wale wasiowatiifu kupeleka taarifa kwa chadema? CHADEMA wanatetea maslahi ya wananchi gani wakati wao ndo wako mstari wa mbele kwa kuwajenga hofu ili washiriki shuguli za maendeleo. Hata mjinga anajua kabisa unachotaka kupotosha hapa mkuu, hayo yote uliyoyabainjsha hapana shaka kabisa yanafanywa na CHADEMa Kwa tamaa zao za madaraka, mipango yao ya kutaka kuwafurahisha wafadhili wao na wala usihusishe serikali na vyombo vyake vya ulinzi, Haiwezekani mabomu yanalipuka leo , hata miili haijazikwa tayari wameshapanda majukwaani na kuomba huruma ya wanachi, huu ni mpango endelefu ambao CDM wamepanga kuutumia, bahati mbaya wananchi wameshawashtukia
 
Mkuu Mingoi vipi tena.!?? tukiipenda CHADEMA mnatuponda, tumeamua kuichukia tena mnaponda.. nipe ushauri tufanye nini sasa...
Mleta uzi ni mnafiki alichokiandika ni madongo kwa chama tawala.

 
Kafie porini kwanza kura yako ni 1/15,000,000 ambayo ni sawa na 0.0000015 kima hesabu ni sawa na zero
 
Kazi zenu mlizonazo chadema zinatosha ni mandamani,vurugu,tindikali nk mkiongeza zingine mnajiumiza wenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…