Siipendi CHADEMA

Naunga mkono hoja Chama chenyewe kina wabunge 24 + 25 tu halafu wanatusumbua mno.

Sijui kifutwe tu au.....
 
mkuu hujanielewa, we are in the same side sema wewe umenimisconcept ndio maana umeamua kunitupia mawe yote hayo.
 
nashukuru kwa lugha zote chafu ulizozielekeza kwangu, nikuambie tu ndugu yangu mie sie kinara wa kuitukana serikali yangu lakini vile vile mie sie mtu wa kuimba utukufu ambao haupo mkuu,penye ukweli nitapasimamia hata kama nitakua upande wa shetani sitojali, mimi ni independent think tank sifundishwi cha kusema km baadhi ya ndugu zangu humu.
 
Pole sana, una madhambi ulyoitendea nchi hii. Bado kitambo kidogo tu yatajulikana
 
mkuu tunapangiana thread za kuchangia...

INAELEKEA HAO WATU SITA ULIWATAJA WANAKUUMIZA KICHWA SANA,, HEHE
kwani kuna mtu humu kakupangia sredi za kuchangia???????????
hapo kwenye blue sijawahi kuumizwa nao kichwa bali kinachonishangaza ni ushabiki wao wa kijinga hata kwenye mambo ya kipumbavu, inafikia hatua najiuliza hivi ujira wao ni shilingi ngapi?
 
ILA Waheshimiwa wa CCM wanaohalalisha na kushangilia umwagaji wa damu ndio tuwapende?
 

potelea na unafiki wako! Independent???? wewe ni Chadema mtupu wewe ni kinara wa matusi na lugha chafu ila kwasababu hizo nyimbo mnazoimba tunazijua na mmeshindwa kuzijibu ndipo mnapotaka kujitia ustaarabu msiozaliwa na nao kabla huajatapika hiki kinyesi ilipitia posts za nyuma?? sijakosea kusema una kisonono cha ubongo badala ya kujiliza tafuta tiba !!
 
ILA Waheshimiwa wa CCM wanaohalalisha na kushangilia umwagaji wa damu ndio tuwapende?

Unawalaumu washangiliaji badala ya warusha mabomu Chadema hivi akili yako inafanya kazi au umeiweka rehani Togo?
 
kwani kuna mtu humu kakupangia sredi za kuchangia???????????
hapo kwenye blue sijawahi kuumizwa nao kichwa bali kinachonishangaza ni ushabiki wao wa kijinga hata kwenye mambo ya kipumbavu, inafikia hatua najiuliza hivi ujira wao ni shilingi ngapi?

 
sijawahi kutoa lugha chafu humu jamvini hata siku moja na ndio maana sijawahi kupewa likizo ya lazima, niletee post yoyote ile niliyo toa lugha ya kuudhi km ipo?
 
Mwandishi ANA AKILI NYINGI SANA. Inahitaji AKILI NYINGI pia ili kuelewa alichoandika. Hongera kamanda
 

Askari piga!... Pigeni hao!... .. PINDA!!!!... Ila angalieni mnapopiga raia watachoka na kuwageuzia kibao nyinyi na familia zenu.
 
1.CHADEMA hawafai kabisa ETI wanawaua wapiga kura wao kwa bomu ili washindwe uchaguzi alafu wajipatie umaarufu???
2.ETI wanamuita waziri wetu mkuu ETI mpmbav kisa tu kasema "wapigeni,tumechoka"sasa kama waziri wetu mkuu amechoka hawa CHADEMA walitaka asemeje?
3.Walivyo wajinga CHADEMA wamemhadaa hakimu mpaka katupilia mbali kesi inayomkabili mbunge wao aliyemtukana waziri mkuu.Sasa kama ni hivyo waziri wetu si ataonekana kweli mpmbav.CHADEMA KIFUTWE.MI NIMECHOKA.
 

wewe mbwiga kwelikweli.
 
nahisi una ujauzito wa mwigulu na utajifungua njiti mwenye utindio wa ubongo kama ccm!
 
mkuu hujanielewa, we are in the same side sema wewe umenimisconcept ndio maana umeamua knit updates mawe yote hayo.
mkuu hawezi kukuelewa maana kwa mtu wa ccm ni tusi kubwa mno
 
kwani kuna mtu humu kakupangia sredi za kuchangia???????????
hapo kwenye blue sijawahi kuumizwa nao kichwa bali kinachonishangaza ni ushabiki wao wa kijinga hata kwenye mambo ya kipumbavu, inafikia hatua najiuliza hivi ujira wao ni shilingi ngapi?

Wewe ndiyo -------- mkubwa unataka wachangie nini?
 
Hii ni dhahiri shahiri kua wana JF karibu wote ni chadema members cz wamemshambulia mtoa mada while kazungumza ukwel mtupu,,.....i hate politic
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…