Dr Matola PhD
Platinum Member
- Oct 18, 2010
- 61,429
- 108,580
Nimeshaitikia mpendwa.natola! leo nimekupenda bure kumbe kuna wanaume wana akiri da matola...itika bas
Una moyo sana mimi nilipofika kipengele cha miaka 7 nikaona huu ni upuuzi mtupu.Matola bora hata ulivosusa kumalizia kusoma uzi, mii nimemaliza kuusoma, ni kama ulijua, najutia muda wangu, ulikuwa sahihi kutosoma mpaka mwisho!
Fanta orange na sambusa za nyama plus egg chop, sina gharama haizidi elfu tano.matola agiza chochote unachokunywa bili yote juu yangu.... i like this
Last edited by a moderator: