Siibiwi kweli?

Siibiwi kweli?

natola! leo nimekupenda bure kumbe kuna wanaume wana akiri da matola...itika bas
Nimeshaitikia mpendwa.
Matola bora hata ulivosusa kumalizia kusoma uzi, mii nimemaliza kuusoma, ni kama ulijua, najutia muda wangu, ulikuwa sahihi kutosoma mpaka mwisho!
Una moyo sana mimi nilipofika kipengele cha miaka 7 nikaona huu ni upuuzi mtupu.
matola agiza chochote unachokunywa bili yote juu yangu.... i like this
Fanta orange na sambusa za nyama plus egg chop, sina gharama haizidi elfu tano.
 
Last edited by a moderator:
Aaaah utashangaa baadaye binti wa watu kazeeka halafu anaanza kumzingua kisa kaona dogo dogo

Hapa nakumbuka binti mmoja hivi ...alikaa kwa muda mrefu sana ktk uchumba akaona jamaa hapigi hatua nyingine....bla bla nyingi akamwambia jamaa yake akiwa tayr kwa ndoa amjulishe then akampotezea kwa muda wa miezi kadhaa....mwisho wa siku jamaa alitagaza ndoa ..mpakab sasa wana watoto 2
 
Inawezekana labda miaka hiyo saba ni sahh kabisa kana walianza mahusiano bint akiwa na miaka kumi na nane maana ake sasa hv ni 25 kwa hiyo yupo sahihi kabisa kusema wamekaa miaka hiyo,swala hapo ni tabia za huyo mtu,na ushukuru tabia yake umeijua mapema kimsingi piga window chini...hafai huyooo
 
Huo siyo uchumba bali ni elimu ya msingi ya ndoa......
Huyo ashapata wanaomla na kumuahidi ndoa.
Uchumba ungekuwa una tuzo nyie mngebeba.
Mmeshatoa mimba ngapi mpaka sasa?
 
Sasa wewe jamaa dah....kifupi amekuona hueleweki usimpotezee mtoto wa watu muda. Miaka saba!!!
 
Wewe nae umemtumia sana mtoto wa watu yani miaka7?Kaona hauna muelekeo kaamua aangalie ustaarabu mwingine
 
Hiyo kazi ya kukaa uchumba mpka mnafanana kama kaka na dada na sion muelekeo sifanyi kabisaaa.
 
Mnajua hiyo miaka saba imefikaje?
Nilianza nae akiwa kidato cha pili, akamaliza kidato cha nne hakufaulu, nikamshauri arudie, akarudia mtihani lakini pia hakupata credit, nikamshauri akasomee clearing and forwarding miaka miwili, jumla mingapi hapo? 6.(Sita)
Mwaka uliopita amepata kazi, nikamwambia anipeleke kwao nikajitambulishe, nimepigwa chenga, mwaka huu mara ya mwisho kuonana nikamueleza nia yangu kwamba mwakani Mungu akipenda tungefunga ndoa, yaani utafikiri ndio nilimuambia kwaheri.
Hiyo ndio miaka Saba sasa. Kuna lingine?

sasa ndo nimeelewa...!
ki ufupi ni kuwa ulikuwa unamkuza, sasa amekuwa anataka wa kuishi naye sio kumkuza tena!
asante kutukuzia mtoto...!
 
Mnajua hiyo miaka saba imefikaje?
Nilianza nae akiwa kidato cha pili, akamaliza kidato cha nne hakufaulu, nikamshauri arudie, akarudia mtihani lakini pia hakupata credit, nikamshauri akasomee clearing and forwarding miaka miwili, jumla mingapi hapo? 6.(Sita)
Mwaka uliopita amepata kazi, nikamwambia anipeleke kwao nikajitambulishe, nimepigwa chenga, mwaka huu mara ya mwisho kuonana nikamueleza nia yangu kwamba mwakani Mungu akipenda tungefunga ndoa, yaani utafikiri ndio nilimuambia kwaheri.
Hiyo ndio miaka Saba sasa. Kuna lingine?

Hakuna lingine kwa kweli....bwahahaa
 
najua ngumu kweli kuamua kumwacha umpendae.... itauma zaid akikuacha wewe... yeye sasa hivi yuko dilemma anajaribu kutaka wapi awe zaidi..... miaka saba sio kitu mkuu kama mwenzi wako hana upendo wa asili.... so yeye anataka kukaa kwako kasababu mme-share mengi na nafsi inamsuta kwa hilo lakini sio kukupenda..... hawa creatures sometimes hawaangalii mwenzi wake zaidi ya wao binafsi kujiridhisha kwa namna yyte ile
 
lete jina kamili na no yake ya simu nahisi ni huyu hapa ofcn kwetu maana ana historia inayofanana nahiyo ili niwaunganishe
 
kuna watu mnadumj katika mahusiano kumbe duuuu miaka 7 hii hii jaman duuuu
 
Back
Top Bottom