SIHA: Mwenyekiti wa CCM anusurika kipigo kutoka kwenye Baraza la Madiwani

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Mar 9, 2015
14,242
34,903
Taarifa kutoka mkoani Kilimanjaro zinaeleza kuwa Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Siha Oscar Themi amenusurika kipigo katika Baraza la Madiwani jana baada ya kuibua mvutano wa kisiasa katika baraza hilo.

Awali Mwenyekiti huyo alikaribishwa na kupewa nafasi ya kusalimia lakini akaitumia nafasi hiyo kueleza sera za chama chake. Hali hiyo iliwakera madiwani wa CHADEMA na kumtaka aache kutumia kikao hicho vibaya, lakini akaonekana kukaidi. Ndipo wakamnyang'anya microphone kabla hajatimua na kupanda gari yake na kuondoka huku akiwaachia mzozo madiwani wa CCM na Chadema ndani ya kikao hicho.
 
Haaah haaa wakanyanganya kipaza, ananikumbusha kipindi nachana verse, rapa anasahau mistari anabaki tu yooooo yoooo
UKAWA tupo pamoja for ever
 
Haaah haaa wakanyanganya kipaza, ananikumbusha kipindi nachana verse, rapa anasahau mistari anabaki tu yooooo yoooo
UKAWA tupo pamoja for ever
Ilitakiwa wambebe msobemsobe na kumtoa nje, ndiyo maana wanachapwa viboko na mzee wa kongwa
 
Taarifa kutoka mkoani Kilimanjaro zinaeleza kuwa Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Siha Oscar Themi amenusurika kipigo katika Baraza la Madiwani jana baada ya kuibua mvutano wa kisiasa katika baraza hilo.

Awali Mwenyekiti huyo alikaribishwa na kupewa nafasi ya kusalimia lakini akaitumia nafasi hiyo kueleza sera za chama chake. Hali hiyo iliwakera madiwani wa CHADEMA na kumtaka aache kutumia kikao hicho vibaya, lakini akaonekana kukaidi. Ndipo wakamnyang'anya microphone kabla hajatimua na kupanda gari yake na kuondoka huku akiwaachia mzozo madiwani wa CCM na Chadema ndani ya kikao hicho.
Hawakumtia ngeu kidogo?
 
Back
Top Bottom