M Mponjori JF-Expert Member Feb 21, 2011 2,205 549 Oct 23, 2012 #21 Du,kweli kuna mambo mengi siyafahamu.mi nlijua zinarafirishwa kama maji ya uhai
Mwitongo JF-Expert Member Jan 30, 2009 312 360 Oct 23, 2012 #22 Mbona hushangai maji kutoka "Mlima Kilimanjaro", yanayosafirishwa kwa malori kutoka Mikocheni, Dar es Salaam? Wajinga ndiyo tuliwao!
Mbona hushangai maji kutoka "Mlima Kilimanjaro", yanayosafirishwa kwa malori kutoka Mikocheni, Dar es Salaam? Wajinga ndiyo tuliwao!