Sio hatari kwa watawale na muhimu kwa siasa za majirani ?Mwanasiasa machachari
Zile siasa namna ile inapendeza sana zinaleta amsha amsha ya maendeleo na kuheshimiana baina ya watawala na raia.Kenya kwakweli kuna Siasa flani hivi kumechangamka sana, wanacho nifurahisha wanavyopeana makavu bila woga wala kuwa na hofu ya kidole watekwe. Njoo kwetu Tz sasa 😭 😭
Mbona kama unamfahamu vzr zaidi sema hutakiFrom my side I don't know him/her
Kwakweli wana sema bila woga na inawajenga hata watawaliwa kujua porojo iko wapi na kwanini hili linatokea au kwanini hili halitokei.Zile siasa namna ile inapendeza sana zinaleta amsha amsha ya maendeleo na kuheshimiana baina ya watawala na raia.
Unazungumzia hapa kwetu Tanzania? Hakuna uhuru huo siasa zetu zinatawala ndani ya nafsi na mioyo yetu sio wazi waziKwakweli wana sema bila woga na inawajenga hata watawaliwa kujua porojo iko wapi na kwanini hili linatokea au kwanini hili halitokei.
Nafikiri kuna mahala tunatakiwa tujifunze haya mambo ya kiuongozi kuyaweka wazi, kuna tume flani huko Kenya hua naiona mtu anakwenda Bungeni anahojiwa wazi wazi mnaona kila kitu na jamaa mmoja wakili huwa anamaswali sana.Unazungumzia hapa kwetu Tanzania? Hakuna uhuru huo siasa zetu zinatawala ndani ya nafsi na mioyo yetu sio wazi wazi
Uhuru huo na uwazi huo ukiona siku umefikia Tanzania basi elewa kwamba Yesu kasharudi.Nafikiri kuna mahala tunatakiwa tujifunze haya mambo ya kiuongozi kuyaweka wazi, kuna tume flani huko Kenya hua naiona mtu anakwenda Bungeni anahojiwa wazi wazi mnaona kila kitu na jamaa mmoja wakili huwa anamaswali sana.
Unakuta mtu anaulizwa utajiri wake aliko upata na una thamani gani mambo yanasonga vizuri kabisa kisheria na uwazi.
Kenya kwakweli kuna Siasa flani hivi kumechangamka sana, wanacho nifurahisha wanavyopeana makavu bila woga wala kuwa na hofu ya kidole watekwe. Njoo kwetu Tz sasa
Anaitwa Edwin Sifuna ni seneta machachari wa kaunti ya Nairobi kupitia chama kikuu cha upinzani Kenya yaani ODM kilichoasisiwa na Raila Odinga.Habari ndugu zangu,
Nimekua mfuasi wa siasa za Majirani Kenya
I wish to know deeply who is politician someone Sifuna??
What's so special about him
Huyu jamaa ni matata kwakweli, swali ni kwanini walimvua cheo cha ukatibu mkuu?Anaitwa Edwin Sifuna ni seneta machachari wa kaunti ya Nairobi kupitia chama kikuu cha upinzani Kenya yaani ODM kilichoasisiwa na Raila Odinga.
Amekua maarufu siku za karibuni baada ya kuvuliwa cheo cha katibu mkuu wa chama cha ODM. Ni kiongozi kijana mjasiri na mwenye maarifa kwelikweli.
Kitaaluma ni wakili na ni mwenyeji wa magharibi ya Kenya kutokea kabila la pili kwa ukubwa Kenya yaani Luhya
Hao jamaa wana mgogoro kuhusu uchaguz mkuu 2027Huyu jamaa ni matata kwakweli, swali ni kwanini walimvua cheo cha ukatibu mkuu?
Alifukuzwa sababu alipinga ODM kumuunga mkono Rais William Ruto wa chama cha UDA kwenye uchaguzi wa mwaka 2027.Huyu jamaa ni matata kwakweli, swali ni kwanini walimvua cheo cha ukatibu mkuu?
Sawasawa, ndio maana hivi sasa baada ya kupata support ya VIJANA WA KENYA (majirani zetu) amekuwa mwiba sana.Hao jamaa wana mgogoro kuhusu uchaguz mkuu 2027
Ikumbukwe marehemu BABA ( JUWI) aliingia ushirikiano na RUTO katika serikal na kuifanya odm kupata viti vya baraza la mawaziri mfano bwana 001 kutokamombasa n mmoja wa member wa odm aliyepata nafas ya uwazir wq mambo ya kawi na madin
Sasa baada ya kifo cha baba msuguano umeanza hasa wabunge vijana kama sifuna babubowino mzee wa (TIBIM) wanataka watoke katika muungano wa serikal ili wajipange kwa uchaguz ujao maana umebak mwaka 1 tu
Sasa ruto kupitia mwenyekiti wa ODM ambaye n mdogo wa baba dr OBURU wanataka kibak katika ushirika na watamuunga ruto hvyo kiti cha NAIBU RAIS kitakuwa chini ya ODM sasa vijana wa odm wanataka wapate mgombea kamili wa urais
Ndiyo maana bwana sifuna wamemtema katika chama anaonekana anataka kubomoa chama
Naamini wale ndugu zake Mzee Baba hayati Odinga kwasasa wamekaa KIDALALI sana na Msomi Sifuna kawashtukia mapema na vijana wa sasa WEPESI kuelewa mambo wataachiwa na NCCR AMA CUF mtaji ni watu.Baada ya Odinga kufa ODM nayo inaenda kugawanyika vipande viwili. UDA ya Ruto wanataka kutake advantage kuipasua maana so far ndio mpinzani mkuu. Kuna ODM wanataka kushirikiana na serikali wengine hawataki wabaki na misimamo ya upinzani wakiamini wana uwezo wa kumtoa Ruto.