St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,638
- 4,522
Vurugu zote za huyu Muungwana katika kutafuta umaarufu kuzidi ule alio nao na kuwa kwenye vyombo vya habari kila uchao ni za nini..??
Hahaha..unaweza kudhani ni Swaziland mkuu, ninachojiuliza walienda kupata baraka(kulingana na thread moja humu JF) kwa mh. EL kama nani?..and above all why now?
-Kwasababu ukisema kama aliyekuwa waziri mkuu mstaafu, tunao wengi!
-Kama mbunge(imeanza lini) hii tabia(ku_incorporate siasa na sanaa)?? then ningeelewa kamani wa Jimbo lake tu!
-Kama Mjumbe aliyepita wa NEC, ...nakosa majibu!!
"80 percent of success is just showing up" - Woody Allen
you mean..................??
Hii ni kinyang'anyiro cha kumsaka Miss Monduli au Mr. Presidaa 2015!!? Sielewi elewi hapa...
Vurugu zote za huyu Muungwana katika kutafuta umaarufu kuzidi ule alio nao na kuwa kwenye vyombo vya habari kila uchao ni za nini..??
Vurugu zote za huyu Muungwana katika kutafuta umaarufu kuzidi ule alio nao na kuwa kwenye vyombo vya habari kila uchao ni za nini..??
mkuu samahani naomba usitumie hili neno kustaafu wache watumie TBCCM, maana ya hili neno haliwezi likatumika kwa EL, sema kwa wachakachuaji sawa
Naona wamemtengea kabisa sehemu ya kuacha mpunga, najua mheshimiwa atadondosha cheque
Vurugu zote za huyu Muungwana katika kutafuta umaarufu kuzidi ule alio nao na kuwa kwenye vyombo vya habari kila uchao ni za nini..??
huyu akikosa uraisi huyu ataivuruga hii nchi huyu,halafu anaanza kuishiwa busara sasa kwa kutafuta umaarufu kupitia hawa wauza vitumbua.Vurugu zote za huyu Muungwana katika kutafuta umaarufu kuzidi ule alio nao na kuwa kwenye vyombo vya habari kila uchao ni za nini..??
mkuu samahani naomba usitumie hili neno kustaafu wache watumie TBCCM, maana ya hili neno haliwezi likatumika kwa EL, sema kwa wachakachuaji sawa