kampelewele
JF-Expert Member
- Oct 13, 2014
- 2,998
- 2,414
Binti anakuwa hana uhakika kama utamuoa au unatka hit and run!Sasa ya nini kupoteza muda wooote mpaka ndoa ivunjwe muda mfupi baada ya kufungwa ?
Binti anakuwa hana uhakika kama utamuoa au unatka hit and run!Sasa ya nini kupoteza muda wooote mpaka ndoa ivunjwe muda mfupi baada ya kufungwa ?
Sio moyo my wii, unaangalia penye mapenzi ya dhati... Hayo mandingo ni mbwembwe tuWe wape moyo tu my wi![]()
![]()
Plz tell me yo kidding!!!Mbona haina shida hiyo....
Nafikiri ikipata moto iko poa tuu
Kwakweli.Ni bora usioe kabisa maana utakuwa mtumwa wa ndoa, utanyanyasika na utakuwa mnyonge siku zote. Sio lazima watu wote waoe. Unaweza kuishi maisha yako ya furaha na amani bila kuoa.
Unaongea kwakuwa una mandingo, ungekutana na hiyo nukta usingeongea hivyo.Sio moyo my wii, unaangalia penye mapenzi ya dhati... Hayo mandingo ni mbwembwe tu
HahahaUnaongea kwakuwa una mandingo, ungekutana na hiyo nukta usingeongea hivyo.
Hahaha
Lakini wewe unaona ina shida antie
I'm not kidding aunt.....Plz tell me yo kidding!!!
Yaani mie sioni kasoro hapo auntie jamani![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Auntie usinitie majaribuni jamani!!!