sifanyi mapenzi mpaka ndoa

sifanyi mapenzi mpaka ndoa

Ni bora usioe kabisa maana utakuwa mtumwa wa ndoa, utanyanyasika na utakuwa mnyonge siku zote. Sio lazima watu wote waoe. Unaweza kuishi maisha yako ya furaha na amani bila kuoa.
 
kuna watu wanamisimamo ya dini ili kuepuka radhi lakini mitihani yake huwa mikubwa sana baada ya ndoa nakuanza kuvuana nguo.
Hapo ndio utakapojua umuhimu wa kuvunja amri ya Mungu kwa kutest mzigo na baadae kwenda kuungama kwenye madhabau matakatifu. Ndoa sio kitu cha mchezo mchezo
 
Wengine hizo amri zilitushinda kabla mv bukoba haijazama
 
Ni bora usioe kabisa maana utakuwa mtumwa wa ndoa, utanyanyasika na utakuwa mnyonge siku zote. Sio lazima watu wote waoe. Unaweza kuishi maisha yako ya furaha na amani bila kuoa.
uspo oa / olewa nayo ni dhambi ni heri uchague njia mbili miito au ndoa.
 
kuna watu wanamisimamo ya dini ili kuepuka radhi lakini mitihani yake huwa mikubwa sana baada ya ndoa nakuanza kuvuana nguo.


Kama atashindwa kudo hapo hakuna ndoa. Inakubalika maana ndoa inakuwa ndoa ikiwepo penetration ya dushe katika K kama hakuna ni batili

Sasa ya nini kupoteza muda wooote mpaka ndoa ivunjwe muda mfupi baada ya kufungwa ?
 
Sasa ya nini kupoteza muda wooote mpaka ndoa ivunjwe muda mfupi baada ya kufungwa ?
mkuu hii nimezungumzia juu ya kuvumilia mpaka ndoa big challenge moja wapo ndo ukutane na ivo.

ila kwakuwa ulikuwa na msimamo sijahalalisha ndoa ivunje kikubwa hiyo changamoto kabiriana nayo kwakua umeamua kufuata maadili ya dini.
short and simple solution.
 
uspo oa / olewa nayo ni dhambi ni heri uchague njia mbili miito au ndoa.

Hapana, dhambi ni pale utakapoacha kuoa lakini unazini. Imagine una hicho kisisimizi, kweli utazini? Itakubidi ukae tu. na ili usijiaibishe na kujidhalilisha, bora ubaki bila kufikiria kuzini.
 
Back
Top Bottom