Sifa zingine mwishoni zinakuumbua

Sifa zingine mwishoni zinakuumbua

C.Thady

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2015
Posts
589
Reaction score
155
Habari zenu sana JF,

Kunahizi sifa aisee nashindwaga kuzielewa nianze na wadada
1:WANAWAKE/KINADADA
Unakuta bi mdada anajisifia eti ooh black beauty wakati jamaa wake anachepuka na demu mweupe. Eti oooh Mimi model wakat jamaa anatoka na midada yenye mishape balaa. Eti ooh jamaa hapa kwangu kafika kumbe jamaa anakutafutia tu sababu ya kukuacha huko alipo nk.

2.WANAUME/WAKAKA
tusiwe tunajisifia eti ooh msichana wangu hapa kapenda kifua hatoki kumbe huko nje anachepuka na kijamaa kembamba balaa Mara oooh dem kapenda kitambi kumbe huko nje anatoka na jamaa mbeba chuma. Mara ooh msichana kapenda swagga kumbe uwiii hata hana interest na swagger zako. nk

NB: Tusiwe na isifa za kijinga siku ukiachika ndio utajifunza
 
Mh! umechoma kunako, hii kweli kabisa naunga mkono 100%, chamsingi ni kutulia tu kimya kama ni misifa yako jisifie moyoni tu, ila cku ukiumbuka ndo utajua na hautojisifia tena hadi nukta ya mwisho.
 
Mh! umechoma kunako, hii kweli kabisa naunga mkono 100%, chamsingi ni kutulia tu kimya kama ni misifa yako jisifie moyoni tu, ila cku ukiumbuka ndo utajua na hautojisifia tena hadi nukta ya mwisho.

Kabisa mkuu maana kuna bi mdada mmoja yamemkuta Leo mapemaaa asubuh
 
Huo ndio ukweli.
Tatizo wengi wanatazama kwa macho na si kwa akili.
 
Back
Top Bottom