Sifa za wanawake wenye ndevu

hakuna lolote hivi waafrika lini tutaacha imani zakijinga? Ndio maana mnaishia kuuwa albino kwa imani potofu wanao wauwa maalbino ndio hivi hivi wanadanganywa ? Eti watamu, mara matajiri ohh waume zao wanahela
wizi mtupu mtabakia kuibiwa kila siku kwa imani finyu bila kutumia akili. g
 

oi Kumbe Kuolewa yaani Ukiamua tu...mmmh! wasichana wengi nijuavyo wanatafuta wa kuwaoa ila ndio waowaji huwa hatuwaelewi dhamira yenu
 
hizi ni imani tu hakuna lolote kikubwa ni kujiamani na kufanya kazi kwa bidii
 
Napita hapa, kuna m1 anazo yupo very serious
 

Hapo kwenye red nina wasi wasi.
 
Wana ka element ka ubabe maana kutokana na vindevu vyao huwa wanajiona wanaume
 
Mhh!! Mbona mie nina ndevu na viji nywele kifuata na hata mustachi na niko poa tuu,Mwanamke kuwa na ndevu ni maumbile tuu wala hakuna utamu.uchungu wala nini
Japokuwa sina experience na haya mambo, ila bibie naomba utambue kuwa siku zote siri ya mtungi ajuae kata bwana, hasa hapo kwenye swala la utamu hapo nahisi hata kama sio wote mnasifa hiyo basi wengi wenu labda mtakuwa na hiyo sifa.......maana najaribu kujiuliza iweje wanaume wengi wasisitize hilo?
 

Yaa,nimesikia pia,wanaume wengi huwa wanasema hivyo,kwamba ni watam n its true
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…