Sifa za wanaume weupe

Kama ulichoandika ni kweli basi nadhani mimi sikutakiwa kuwa Jay White ilitakiwa niwe Jay Black.
Nikitembea na demu wako hatoniacha ng'o,nasaka pesa hasa,ni mpole ndiyo lakini nikikunja ngumi lazima upelekwe hospitali na sijui kwanini mimi huwa siogopi kabisa?!
 
Namba 5 umechemka
 
Nimejaribu kurefar kwa rafiki yangu mweupe hizi sifa zimetiki
 
Wanaume weupe wengi ni mashoga
 
Wanume weupe------- nyuma wako wazi
 
Duh,, sio kwa povu hii!
 
Ww ni mwafrika lakini tayari umebagua weusi wenzako,vipi ikiwa ungekuwa mzungu??? Si ungewaua kabisa???


Asee ww jamaa ni mjinga 100% hakuna anayebisha
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…