Sifa za wanafunzi kulingana na vyuo



Ona huyu jamaa anachokataza yeye ndicho anachofanya..."ukiwa muongo basi usiwe msahaulifu"...
 

DIT, ST.JOSEPH DAR , MUST- Wapiga misuli na wanaojua nini maana ya maisha
 
Upeo wako mdogo ka maisha ya funza unakosea lakini bado hautaki kujifunza
 
ila kiukweli sio kila kiitwacho chuo ni chuo bali vingine ni .............
 
hapa bongo hata kama ungesoma chuo gani hakuna atakayekuja na jipya pumbav
 
nashangaa sana hawa moderators, wanaiacha hii na kuruhu vyou kukashifiwa pamoja na wahitimu wao angali nikituma mada nzito zenye kuhitaji majadiliano wanaitoa ndani ya dk 1
 

huna jipya
 

hujielewi wewe!
 

Subirini semester ianze
 
katu mpuuz kwell wew
 

chuo n chuo tuuuuuu,,,hata kama ningesoma teku..teh teh
 
Ingekuwa ukisoma chuo fulani unakuwa na guarantee ya kuishi maisha mazuri,ningeona deal.Sasa ukimaliza udsm,saut na CBE wote tunazunguka na bahasha za kaki kwa almost 2 years.Nini sasa cha maana hapo?[/QUOTE

ni kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…