Sifa za wanafunzi kulingana na vyuo

Kama husomi ni ww,bongo watu wanapiga shule bana

aaah !! Shule ya kukariri vilivyoandikwa na Wazungu, Yaani mnacopy everythn kuanzia technique zote za ufundishaji ila mwisho wa siku wote chaliiii hakuna jipya wote empty set mfano mzuri ni hawa ma engineer na kusoma kote huko hakuna hata kimoja walichogunduaaaaa afu bado mnajiita wasomi tu !!
 
Kama husomi ni ww,bongo watu wanapiga shule bana

kwa taarifa Yako Bongo hamna wasomi bali kuna wizi mtupu na siasa za mdomoni tu !! Shame on You little pupple
 
Eti Mzumbe ni wenye akili!!! Angalia programu ya MPA/MBA vilaza kibao wanaikimbilia

Some years back I had the opportunity to be a member of the interview panel, and one of the MPA graduates from Mzumbe was the candidate. At the end of the Interview one of panelists was a professor who asked ''What went wrong with our education system?. This came up baada ya huyo so called MPA graduate kufanya madudu ya ajabu kwa kushindwa kutoa historical background kwa kifupi.Kiukweli graduates inabidi yeye binafsi ajitambue na kujipima na wenzake ambao wamemaliza the same course iwe hapa Tanzania au hata nje ya nchi.
 
What about Dar es Salaam Institute of Technology?
 
jamaa inabidi ujue kutofautisha academician, academician amekaa kimadesa na maelezo zaidi hawezi vumbua kitu, halafu sio uvumbuzi wa wasomi wa bonogo tu bali ni innovations..so haijalishi umesoma wapi sweden, usa, kenya malawi, physics ni ile ile chemistry, law, economics,commerce etc...
 
akili zako mbofumbofu,ngoja umalize hako kachuo kako usote mtaani ndo utatia akili na hayo mashauzi yako
 
we kweli ki dudu mtu,baba ako ndo asikutegemee kabisaa km atapata vihela vya mshahara wako we bado una fikra hasi
 
haya yote ya nin mtu wangu,, unajua kwenye lyf, especially utafutaj,, dont u dare dspise yo fellows,, et kisa we unajweza
kuliko wao,, Mungu kampangia kila mtu future yake, regardless of,, mahal aliposomea,, kwanza kama we unasoma humu bongo, pole, kwasabab unasoma ndan ya nchi ambayo elimu yake bado ni very poor,, haina msaada unaonekana kwa taifa,, wengi wanakariri ili wafaulu mitihani,, et kwa sabab wanakauwezo kauwezo ka kukariri, maneno meeeng, wakat hata ndan ya top 900 ya vyuo dunian cha tz hakimo,, so u better mind yo damnd lyf,,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…