Hahaha hiyo ipo kwenye muvi tu swaiba, hivi swaiba umesahau baba ndo kichwa ya nyumba? Hata mzazi amkosee vipi mtoto, kumwomba msamaha ni kumbembeleza na kumpa viofa vya apa na pale mpaka anasahau
Mwanaume wa kweli hasusi
Mwanaume wa kweli hanuni
Mwanaume wa kweli sio mbinafsi
Mwanaume wa kweli ni yule mwenye kumuheshimu kumthamini na kumjali mwanamke wake
Ova
Hahaha hiyo ipo kwenye muvi tu swaiba, hivi swaiba umesahau baba ndo kichwa ya nyumba? Hata mzazi amkosee vipi mtoto, kumwomba msamaha ni kumbembeleza na kumpa viofa vya apa na pale mpaka anasahau