Sifa za mwanaume rijali

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
37,159
Reaction score
55,661
Sifa za mwanaume rijali
  • Lazima ajue kushawishi (kumshawishi wanamke na akuamini)​
  • Lazima atembee kiume; sio kwenda upande upande​
  • Lazima ajue kubeba majukumu​
  • Lazima awe na sauti kwa mkewe/ mpenzi wake​
  • Lazima awe na msimamo​
  • Havai vitu wanavyovaa wanawake​
  • Hafanyi vitu wanavyofanya wanawake​
  • Hakai karibu na kundi la wanawake​
  • Lazima awe ni mtafutaji/mpambanaji​
  • Haishi kwenye nyumba ya mwanamke​
  • Haendi kumtembelea au kulala kwa mpenzi wake kwenye nyumba / chumba asichokilipia kodi; ata kama ni hotelini, hawezi kukaa kwenye chumba kilicholipiwa na mwanamke.​

 
......umenikumbusha kitambo kidogo yale majarida ya zamani moja likiitwa BONGO(uhondo mtupu) na lingine TABASAMU(jarida la wajanja), Sasa Toledo la mwaka 96 lilitoka na tittle ya 'Sakata Uvunguni' ilikuja na picha kama hiyo ingawa yenyewe ilikuwa ya michoro....
 
Hapiki chapati
havai waka kumiliki vitu vya pink
Halii wala hapanick
Hana mziki wa zuchu kwenye device zake
Hapost wala kuview status
Hana madharau
Hasemi "khee" au "lol"
Macho mbele mita 100
bila miwani
 
Mbona hizo sifa ulizotaja ni za malaika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…