Sifa za Mwanaume halisi

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,589
Reaction score
830,252
kamwe haumuumizi mwanamke.

Kuwa mwangalifu sana unapomfanya mwanamke kulia, maana Mungu huhesabu machozi yake.

MWANAMKE

alitoka kwenye ubavu wa mwanaume

SI kutoka kwa miguu yake ili akanyagwe
SI kutoka kichwani mwake ili awe juu, bali kutoka ubavuni mwake ili muwe sawa.

Chini ya mkono ili alindwe na karibu na MOYO ili apendwe

Mabaharia tumeelewana?
 
Yeah man. You said it well
 
Lakini Mama zetu labda lakini hawa wanawake wa huku mtaani ukizubaa wanakuachia Msiba mzito lazima ucheze kwa step
Timiza wajibu wako mengine mwachie Muumba wako
Msamehe mtu yeyote ambaye amekusababishia maumivu au madhara.

Kumbuka kwamba kusamehe sio kwa wengine. Ni kwa ajili yako. Kusamehe sio kusahau. Ni kukumbuka bila hasira. Huweka huru nguvu zako, huponya mwili wako, akili na roho. Msamaha unafungua njia kuelekea mahali papya pa amani ambapo unaweza kuendelea licha ya kile ambacho kimekupata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…