Akiolewa na mwanaume mwenye fedha, lazima atamuua... Sasa wewe chagua kama hii mbaya au nzuri, maana wengine duniani huwa wanapenda kuwawa...Habari zenu wanajamvi naomba kufahamishwa sifa za wanawake wa kimachame MAZURI YAO NA MABAYA YAO asanteni naomba kuwasilisha.
Habari zenu wanajamvi naomba kufahamishwa sifa za wanawake wa kimachame MAZURI YAO NA MABAYA YAO asanteni naomba kuwasilisha.
Wabinafsi, wachoyo, wachapa kazi, wajanja sana, kwenye suala la pesa hawana mchezo, wanauza bidhaa sokoni chini ya vigunia vyao kuna mapanga na visu ni wapiganaji wazuri wanapochokozwa hasa na vibaka.
Wabinafsi, wachoyo, wachapa kazi, wajanja sana, kwenye suala la pesa hawana mchezo, wanauza bidhaa sokoni chini ya vigunia vyao kuna mapanga na visu ni wapiganaji wazuri wanapochokozwa hasa na vibaka.
Wabinafsi, wachoyo, wachapa kazi, wajanja sana, kwenye suala la pesa hawana mchezo, wanauza bidhaa sokoni chini ya vigunia vyao kuna mapanga na visu ni wapiganaji wazuri wanapochokozwa hasa na vibaka.
inategemea sana mtu na mtu. Unaweza kukutana na anayemuogopa Mungu maisha yakawa tofauti na ulivyowahi kusikia.
Mungu akusaidie mkuu
Kiiiruuuu...
Kama ilikuwa ni ndoa ..lazima uandae ma inteligenisisa na mwansheria ndo umweke ndani..
Ila kiboko yake ni mpare tu..huyo walishindwana...so kama wewe ni mpare mchukue tu hatokueza....ila uhakikishe ulinzi upo