Kunywa mbona ni poa tu mi mwanaume asokunywa weka mbali na mie,uthenge ni kuachwa home af arudi night mbaya tena kabeba roho tu nampokea na ma i lavyu aaah haipo hiyo labda aje na kitu cha kunipoza, hata kuku mzima af.asingizie alichelewa alikua anamngoja kuku aive kidogoooo ntalegea.japo ntakua navunja.mifupa ya kuku huku natukana kimoyo moyo