Sifa za mke bora

Maana eti umesema kuwa huo ni uthenge

Kunywa mbona ni poa tu mi mwanaume asokunywa weka mbali na mie,uthenge ni kuachwa home af arudi night mbaya tena kabeba roho tu nampokea na ma i lavyu aaah haipo hiyo labda aje na kitu cha kunipoza, hata kuku mzima af.asingizie alichelewa alikua anamngoja kuku aive kidogoooo ntalegea.japo ntakua navunja.mifupa ya kuku huku natukana kimoyo moyo
 
hivi inawezekana kweli mwanaume unajitambua unarudi mida hiyo home jaman???????
 

Duh.....we mtu kweli ni kiboko kwa majibu yani utadhani yule Lodi Lofa
 
eti tisa nite mtu kabeba pombe na roho yake nampokea kwa bashasha aaaah qummamae siwezi mie nkifanya hvo akimbie tu make ntakachomfanya atajuta

Hapo kwake, Wewe umekaribishwa tuu. Nyumba aijua yeye. Ataingia na humfanyi lolote zaidi ya kubana papuchi na kununa!
 
Hekima za wamama zinawaisha wanawake...
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…