Galapagosi
JF-Expert Member
- Apr 21, 2017
- 2,849
- 2,628
Huku kwetu koromije mchepuko unaitwa mchemsho.
duh...kamchepuko kangu hakana la ziada kumzidi waif. mkuu kwa maneno yako inamaana nipige chini huu mchepuko?
mchepuko lazma uje na kitu tofauti. ni uzembe mkubwa kua na mchepuko usioleta jipya.
mchepuko uje ndani hlf unalala kama ubao...napiga chini asubuh tu.
Umenifanya nimepaliwa daku kwa kicheko aiseeHahahahaaaa
Naona umeandika kwa ID moja ukasahau ukajijibu kwa ID hiyo hiyo.
Shkamoo JF.