Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 6,333
- 8,254
hilo mimi silijui mkuu,Hao wasomi wana tija gani ktk nchi?!!zaidi ya kuwa mafisadi na kujikomba ngazi za juu tubaki hvyo hvyo ili kila mtu awe na haki sawa
Tuseme ukweli, jamani dunia nzima inaongozwa na ELIMU. Namnukuu Mahatma Ghandi (Mwanaphilosophia nguli ktk Menejimenti) 'Ili uwe kua kiongozi bora, ni lazima kiongozi uwe muelewa kuliko wale unaowaongoza'. Hapa Tanzania ni kinyume chake. Kwa kweli haya ya kukataa elimu (Sayansi), ni mawazo yanayotawaliwa na hao ambao kwa bahati mbaya hawajapata nafasi ya kuingia madarasani kama mkakati wa ushindi katika siasa. Bado haingii akilini tunapomchagua darasa la saba kwenda kututungia sheria za biashara za kimataifa, huku unamkataa Daktari mbobezi katika biashara za kimataifa. TUAMKENI, TUBADILIKE!!!!Hao wasomi wana tija gani ktk nchi?!!zaidi ya kuwa mafisadi na kujikomba ngazi za juu tubaki hvyo hvyo ili kila mtu awe na haki sawa
Kwani Musukuma, Lusinde, Jah People na Kinanasi wao wanasemaje?Habari za leo ndugu zangu,
Uzi wangu leo utakua mfupi sana.
Ni ushauri tu sifa za kugombea ubunge zibadirishwe walau mgombea awe na Shahada.
Na wanaogombea udiwani walau wawe na diploma.
Wanaogombea uenyekiti wa vijiji walau wawe na cheti cha form four.
Ndugu zangu ni ushauri tu.
Ninyi mnaonaje wakuu.
ambao hawajasoma nao ni mafisadiHao wasomi wana tija gani ktk nchi?!!zaidi ya kuwa mafisadi na kujikomba ngazi za juu tubaki hvyo hvyo ili kila mtu awe na haki sawa
haijalishi amesoma au hajasoma. ukweli ni kuwa pakitokea gape kila mtu anapiga. pesa haina usomiHao wasomi wana tija gani ktk nchi?!!zaidi ya kuwa mafisadi na kujikomba ngazi za juu tubaki hvyo hvyo ili kila mtu awe na haki sawa
Chukulia mfano halisi wa Mbunge wa Musoma vijijini ni prof Kabisa lakini ni hovyo+Hao wasomi wana tija gani ktk nchi?!!zaidi ya kuwa mafisadi na kujikomba ngazi za juu tubaki hvyo hvyo ili kila mtu awe na haki sawa
Na asiwe na umri wa zaidi ya miaka 60.Habari za leo ndugu zangu,
Uzi wangu leo utakua mfupi sana.
Ni ushauri tu sifa za kugombea ubunge zibadirishwe walau mgombea awe na Shahada.
Na wanaogombea udiwani walau wawe na diploma.
Wanaogombea uenyekiti wa vijiji walau wawe na cheti cha form four.
Ndugu zangu ni ushauri tu.
Ninyi mnaonaje wakuu.
Uongozi ni kipaji na sio vyeti.Tumeona awamu pendwa wenye phd lkn reasoning zao zipo chini kuliko kukuHabari za leo ndugu zangu,
Uzi wangu leo utakua mfupi sana.
Ni ushauri tu sifa za kugombea ubunge zibadirishwe walau mgombea awe na Shahada.
Na wanaogombea udiwani walau wawe na diploma.
Wanaogombea uenyekiti wa vijiji walau wawe na cheti cha form four.
Ndugu zangu ni ushauri tu.
Ninyi mnaonaje wakuu.
ndo maana skuzote tunasemaga hii katiba haifai imesha expire.Habari za leo ndugu zangu,
Uzi wangu leo utakua mfupi sana.
Ni ushauri tu sifa za kugombea ubunge zibadirishwe walau mgombea awe na Shahada.
Na wanaogombea udiwani walau wawe na diploma.
Wanaogombea uenyekiti wa vijiji walau wawe na cheti cha form four.
Ndugu zangu ni ushauri tu.
Ninyi mnaonaje wakuu.
Kagombee na wewe na LLM yako uwashinde hao darasa la saba sio kulalamika tuu na kufikiri LLM yako ni ya maana wakati hata kuandika barua ya kuomba kazi kwa kiingereza kizuri huweziKiukweli ipo hiyo haja yaan ukifuatilia elimu za baadhi ya wabunge wetu ni kichekesho huwezi kumtuma apeleke ujumbe wa nchi ata kwa raisi Ndayishiyme wa Burundi...yaan mbunge ni standard seven graduate tena mwenyewe ana tamba kwelii wakat hukunmtaan kuna majitu yana L.L.M, MSc, M.A hawana kazi .
Na ukizingatia nchi sasa ivi ina wasomi lundoooo wanaohitimu kila mwaka hawa ndio wana jua changamoto ya mfumo wa elimu yetu, hivyo tukipeleka hawa wana liberal minded wataleta mawazo mapya
Kweli kabisa.Habari za leo ndugu zangu,
Uzi wangu leo utakua mfupi sana.
Ni ushauri tu sifa za kugombea ubunge zibadirishwe walau mgombea awe na Shahada.
Na wanaogombea udiwani walau wawe na diploma.
Wanaogombea uenyekiti wa vijiji walau wawe na cheti cha form four.
Ndugu zangu ni ushauri tu.
Ninyi mnaonaje wakuu.