Atakujua na zepisa kitakapochafukaAende
Kambi Hiyo Ni Kubwa Sana
Kwa Mbuzi
Mzakwe
Bustani Ya Mungu
Kambi ya mafunzo ya jkt sio RTS??Au wewe unajua Recruit Training School ni nn??Moja kati ya kambi mhaya sana za jkt!! Zamani ilikuwa RTS wakaitoa kuwa rts mpaka kuwa kambi ya jkt
Mkuu akikujibu uni tagKambi ya mafunzo ya jkt sio RTS??Au wewe unajua Recruit Training School ni nn??
Sawa mkuuMkuu akikujibu uni tag
Sifa moja ninayo ijua mimi ni, kambi ya Makutopora ipo karibu na shamba langu pale Veyula...Aman ya kudumu iwe nanyi
dada yangu kapangiwa jkt Makotopora(sina uhakika linaandikwa hivi) huko Dodoma. kwa yeyote mwenye taarifa juu ya kambi hii anijuze tafadhali, kama vile shughuli za uzalishaji mali, ukubwa wa kambi na mengineyo.
Ahsante
nawasilisha.
sidhani kama uko fit menta..y hoja ni 1;intro ya kambi eg kaambiwa aripoti kambini je atafikaje na hajuw njia utashndwa kumguide eti unatoa siri za kambi. 2;uzalishaji je ni zao gani zabbibu au mwani hali ya hewa ikoje hayo ndo nayotaka kujuwa na sio idadi ya mahema wala maafisa kwani wakazi gani mie.wenye hela wote hutumia sana akili badala ya nguvu.Kwa heshima na taadhima naombeni Mods mfutilie mbali huu uzi, ni marufuku kujadili kambi zetu za majeshi mitandaoni,,, si nzuri hata kidogo kwa usalama wa taifa letu