Tundusami
Senior Member
- Feb 7, 2026
- 116
- 262
Demu atakiwi kujua kila kitu . Sio demu anamjua mpaka komando kipensi.
Inatakiwa ukimuuliza “baby unamjua Lukaku?” akujibu “ni yule rafiki yako wa kijijini?”
Ukimuuliza “baby, Haaland unamjua?” akujibu “si ndo yule mtoto wa mama James?”
Sio demu anajua timu za mpira Bongo mpaka Ulaya, anamjua hadi Gabriel Jesus mshambuliaji wa Arsenal. Dem anamjua mpaka Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Marco Rubio. Dem anajua vita vinavyoendelea duniani Urusi na Ukraine, Iran na Israel, Israel na Palestina.
Demu ukiangalia nae The Walking Dead au Wrong Turn hata hashtuki. Amekodoa macho tu mwanzo mwisho.
Inatakiwa akiangalia movie za kutisha anakukumbatia akisema “baby toa bando, mi nitaota” au “maskini, si atamuua sasa.” Huyu zombie.
Sio demu anaangalia picha la mavampire anashabikia “bora life, lina kiherehere sana.”
Mimi napenda demu nikimwambia “leo Chelsea anacheza na Man U,” yeye aniambie “kumbe Kombe la Dunia limeanza?”
Sio demu anakutajia mpaka first eleven ya Burnley. Demu gani huyo?
Inatakiwa ukimuuliza “baby unamjua Lukaku?” akujibu “ni yule rafiki yako wa kijijini?”
Ukimuuliza “baby, Haaland unamjua?” akujibu “si ndo yule mtoto wa mama James?”
Sio demu anajua timu za mpira Bongo mpaka Ulaya, anamjua hadi Gabriel Jesus mshambuliaji wa Arsenal. Dem anamjua mpaka Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Marco Rubio. Dem anajua vita vinavyoendelea duniani Urusi na Ukraine, Iran na Israel, Israel na Palestina.
Demu ukiangalia nae The Walking Dead au Wrong Turn hata hashtuki. Amekodoa macho tu mwanzo mwisho.
Inatakiwa akiangalia movie za kutisha anakukumbatia akisema “baby toa bando, mi nitaota” au “maskini, si atamuua sasa.” Huyu zombie.
Sio demu anaangalia picha la mavampire anashabikia “bora life, lina kiherehere sana.”
Mimi napenda demu nikimwambia “leo Chelsea anacheza na Man U,” yeye aniambie “kumbe Kombe la Dunia limeanza?”
Sio demu anakutajia mpaka first eleven ya Burnley. Demu gani huyo?