Ana haraka sanaWe kwa kuandika uharo unaongoza sidhani kama ulienda shule
Embu rudia kusoma ulichoandika sijui ni uharo au matapishi
So umepanic au?Hiyo no 3 hana ujomba ni Rubbish kabisa..
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Bw Dotto James ni mtoto wa dada yake kabisa..
Acha kujiacha mtupu kwa kuandika upuuzi.
Mjenga = to mjenga chukiWadau nimeufuatilia utendaji kazi wa Rais Magufuli nimebaini ana sifa maalum zifuatazo:
1. Hana Uchama bali uchapakazi tu.
2. Ni mzalendo
3. Hana ujomba wala ubabu kwenye kazi
4. Ana lengo moja tu la kudiscipline.
5. Ana uchungu na rasilimali za nchi
6. Akisema anamaanisha.
7.Hatabiriki
8. Amedhamiria kushughulika na mifupa ilomshinda fisi
9.Haamini katika kushindwa
10. Anashaurika ukimshauri vya maana.
Kama sifa anazo sio dhambi kumpa nafasi hiyo. Kwa hivyo ukiwa ndugu wa Raisi hutakiwi kuajiriwa na serikali?Hiyo no 3 hana ujomba ni Rubbish kabisa..
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Bw Dotto James ni mtoto wa dada yake kabisa..
Acha kujiacha mtupu kwa kuandika upuuzi.
Anamini katika malengo Na matokeoWadau nimeufuatilia utendaji kazi wa Rais Magufuli nimebaini ana sifa maalum zifuatazo:
1. Hana Uchama bali uchapakazi tu.
2. Ni mzalendo
3. Hana ujomba wala ubabu kwenye kazi
4. Ana lengo moja tu la kudiscipline.
5. Ana uchungu na rasilimali za nchi
6. Akisema anamaanisha.
7.Hatabiriki
8. Amedhamiria kushughulika na mifupa ilomshinda fisi
9.Haamini katika kushindwa
10. Anashaurika ukimshauri vya maana.
Imeandikwa amelaaniwa asiyewajua wakwaoHiyo no 3 hana ujomba ni Rubbish kabisa..
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Bw Dotto James ni mtoto wa dada yake kabisa..
Acha kujiacha mtupu kwa kuandika upuuzi.
Wadau nimeufuatilia utendaji kazi wa Rais Magufuli nimebaini ana sifa maalum zifuatazo:
1. Hana Uchama bali uchapakazi tu.
2. Ni mzalendo
3. Hana ujomba wala ubabu kwenye kazi
4. Ana lengo moja tu la kudiscipline.
5. Ana uchungu na rasilimali za nchi
6. Akisema anamaanisha.
7.Hatabiriki
8. Amedhamiria kushughulika na mifupa ilomshinda fisi
9.Haamini katika kushindwa
10. Anashaurika ukimshauri vya maana.
Ovyo!![]()
![]()
![]()
![]()
Wewe unataka kuona sifa za Lowasa
1. Ni fisadi papa
2. Ana uchu wa madaraka
3. Afya haimruhusu kuwa Raisi
4. Amezeeka
5. Amenunua chadema
6. Ana ukanda