SIFA ZA JESHI LA POLISI TANZANIA.
Yawezekana tunalalamikia sana jeshi la polisi, na halijaweza kubadilika. Leo nimeona niweke humu sifa za jeshi la polisi nchini, ili wakisoma kasoro zao pengine watajirekebisha. Nitaambatanisha na mifano michache, ila wenye nayo mingine wanaweza kuongeza ili tuliboreshe jeshi kwa manufaa ya nchi yetu.
1. Jeshi la polisi ni la Kijambazi, Askari wengi wamehusishwa na matukio ya ujambazi, kuvamia, kuiwaibia wananchi mali zao. Turejee mifano ya Ngorongoro, au hata tukio la hivi karibuni pale Kariakoo walipoamua kujigeuza kuwa majambazi kwa kuchukua pesa za mtu waliyeenda kumsaidia (150,000,000/-), au tukio la kumpiga risasi mfanyabiashara wa Geita na kuiba pesa na madini yanayokadiriwa kuwa na thamani ya milioni 300.
2. Jeshi la Polisi wa Tanzania ni la vitisho,halifuati sheria bila kushurutishwa, japo linahubiri vile, linasisitiza polisijamii lakini halitekelezi kwa matendo. Na kwa kuwa ni la vitisho ni la kigeugeu,hugeuka geuka kwenye maamuzi ..mifano linavyotishia waandishi wa habari, nawanaharakati kwa kisingizio cha kuandika uchochezi, kuwakamata au kuwajengea hofu.
3. Jeshi la polisi Tanzania ni WAONGO SANA,Hudanganya sana watanzania na kuwaona watanzania ni wajinga sana, Mfano liliunda Kamati ya Sakata la Ulimboka halijatoa majibu, mpaka ikafikia hatuawanaikana tume waliyoiunda ikawa haipo, jana wameunda tume ya kufuatilia sakata la Kibanda, aliyetangaza ni Kova mwenyewe aliyeitangaza ya Ulimboka baadayeakaikana.Kova amesema kuwa Kibanda ndiye anafaa kuwa shahidi wa kwanza katika tukio hilo, je mbona Ulimboka hajawahikuwa shahidi wa kwanza kwa kesi yake?
4. Limeunda tume nyingi sana za mauaji namateso ya watu halijawahi kuleta majibu, mfano la Ulimboka na Mwangosi IGP alisema ni siri ya Taifa.
5. Hawataki kuwajibishana, wanalindana,wanaogopana. Mfano halikumchukulia hatua zozote Michael Kamuhanda pamoja nakutuhumiwa kusimamia mauaji ya Mwandishi Daudi Mwangosi.
6. Jeshi la polisi hubambikizia raia kesi iliwapewe pesa, na wanapotajwa katikaukweli hukaa kimya hawachukuliani hatua. Walitajwa maafisa waandamizi wa polisikutaka kumbambikia kesi ya madawa ya mtoto wa Reginald Mengi, tukaambiwa napesa ambazo walipewa hadi sasa kimya hili limeisha wapi?
7. Hupokea rushwa na kuwaachia watuhumiwa,kisha hujitokeza kwa waandishi au mbele ya raia kudanganya kuwa watuhumiwawamekimbilia kusikojulikana.
8. Katika vitisho na uongo, tujiulize mkwarawa meseji 400 za matusi kwa Spika uliishia wapi?, Mkwara wa kesi ya Mkenya aliyemtesa Ulimboka, ukimwangalia tu na kulinganisha aliyofanyiwa Ulimboka, eti kumteka, kumwendesha kwenye gari, kutesa Mabwepade, kumngoa kucha, kumngoameno, eti Mkenya alikuwa peke yake hadi sasa jeshi halijamkamata Ighondu anayetajwa na Ulimboka
9. Barabarani wanaongoza kwa kupokea rushwa naukipeleleka malalamiko kwa wakubwa hakuna hatua
10.Wanafuatilia kesi zilizokosewa kidogo kuwabana wakosaji, zilizo wazi na zenye mambo makubwa yenye maslahi kwa nchihufanywa kuwa ni siri kubwa
Yawezekana tunalalamikia sana jeshi la polisi, na halijaweza kubadilika. Leo nimeona niweke humu sifa za jeshi la polisi nchini, ili wakisoma kasoro zao pengine watajirekebisha. Nitaambatanisha na mifano michache, ila wenye nayo mingine wanaweza kuongeza ili tuliboreshe jeshi kwa manufaa ya nchi yetu.
1. Jeshi la polisi ni la Kijambazi, Askari wengi wamehusishwa na matukio ya ujambazi, kuvamia, kuiwaibia wananchi mali zao. Turejee mifano ya Ngorongoro, au hata tukio la hivi karibuni pale Kariakoo walipoamua kujigeuza kuwa majambazi kwa kuchukua pesa za mtu waliyeenda kumsaidia (150,000,000/-), au tukio la kumpiga risasi mfanyabiashara wa Geita na kuiba pesa na madini yanayokadiriwa kuwa na thamani ya milioni 300.
2. Jeshi la Polisi wa Tanzania ni la vitisho,halifuati sheria bila kushurutishwa, japo linahubiri vile, linasisitiza polisijamii lakini halitekelezi kwa matendo. Na kwa kuwa ni la vitisho ni la kigeugeu,hugeuka geuka kwenye maamuzi ..mifano linavyotishia waandishi wa habari, nawanaharakati kwa kisingizio cha kuandika uchochezi, kuwakamata au kuwajengea hofu.
3. Jeshi la polisi Tanzania ni WAONGO SANA,Hudanganya sana watanzania na kuwaona watanzania ni wajinga sana, Mfano liliunda Kamati ya Sakata la Ulimboka halijatoa majibu, mpaka ikafikia hatuawanaikana tume waliyoiunda ikawa haipo, jana wameunda tume ya kufuatilia sakata la Kibanda, aliyetangaza ni Kova mwenyewe aliyeitangaza ya Ulimboka baadayeakaikana.Kova amesema kuwa Kibanda ndiye anafaa kuwa shahidi wa kwanza katika tukio hilo, je mbona Ulimboka hajawahikuwa shahidi wa kwanza kwa kesi yake?
4. Limeunda tume nyingi sana za mauaji namateso ya watu halijawahi kuleta majibu, mfano la Ulimboka na Mwangosi IGP alisema ni siri ya Taifa.
5. Hawataki kuwajibishana, wanalindana,wanaogopana. Mfano halikumchukulia hatua zozote Michael Kamuhanda pamoja nakutuhumiwa kusimamia mauaji ya Mwandishi Daudi Mwangosi.
6. Jeshi la polisi hubambikizia raia kesi iliwapewe pesa, na wanapotajwa katikaukweli hukaa kimya hawachukuliani hatua. Walitajwa maafisa waandamizi wa polisikutaka kumbambikia kesi ya madawa ya mtoto wa Reginald Mengi, tukaambiwa napesa ambazo walipewa hadi sasa kimya hili limeisha wapi?
7. Hupokea rushwa na kuwaachia watuhumiwa,kisha hujitokeza kwa waandishi au mbele ya raia kudanganya kuwa watuhumiwawamekimbilia kusikojulikana.
8. Katika vitisho na uongo, tujiulize mkwarawa meseji 400 za matusi kwa Spika uliishia wapi?, Mkwara wa kesi ya Mkenya aliyemtesa Ulimboka, ukimwangalia tu na kulinganisha aliyofanyiwa Ulimboka, eti kumteka, kumwendesha kwenye gari, kutesa Mabwepade, kumngoa kucha, kumngoameno, eti Mkenya alikuwa peke yake hadi sasa jeshi halijamkamata Ighondu anayetajwa na Ulimboka
9. Barabarani wanaongoza kwa kupokea rushwa naukipeleleka malalamiko kwa wakubwa hakuna hatua
10.Wanafuatilia kesi zilizokosewa kidogo kuwabana wakosaji, zilizo wazi na zenye mambo makubwa yenye maslahi kwa nchihufanywa kuwa ni siri kubwa