Sifa kuu za polisi wa Tanzania

Sifa kuu za polisi wa Tanzania

Mkuu umesahau kuwa hawa jamaa ni Professional Omba omba
 
Mimi sitaki kuchangia kwani ntatukana na nitapigwa ban.
 
Ni vizuri wakachukua maoni yako kama changamoto na si kukuingiza kwenye black list yao ...
Ni kweli kabisa lakini ni vema mkafikiria kwa kina,Mambo ya kusoma kipande cha gazeti na kutoa hukumu si utaratibu wa kiungwana ukifeli mtihani wowote unalaumu polisi ukikamatwa na bhangi unalaumu polisi!Askari Polisi wapo zaidi ya 45,000 aingii akilini hata kwa yule aliye pata division 0 hivi majuzi kuamini kwamba wote hao ni wabaya.Mimi ninaona suala la maadili ni janga la taifa kwa sasa kama ilivyo huko uraiani kuna watu wabaya na wema vivyohivyo hata Polisi kuna Askari wabaya tena ni watoto wenu,kaka zenu,dada zenu n.k ambao hamkuwalea vema na wale wanaobainika wanachukuliwa hatua za kisheria.POLISI IPO NA ITAENDELEA KUWEPO TOA MAONI NI NAMNA GANI TUBORESHE.Haikusaidii kutotoa ushirikiano kwa Polisi kwani wewe ni nani?Nchi ya watu zaidi ya milioni 40 huwezi ukawasemea wote wapo wanaoendelea kuheshimu kazi nzuri za Jeshi la polisi.
 
Kweli polisi ni hamnazo kabisA hivi mnakumbuka lile tukio la polisi kuingia na silaha disco?
 
Tatizo la tanzania kuingiza mambo ya siasa kila sehemu hata swala la ulinzi wa mali zetu tunaligeuza siasa? Tunaelekea wapi watanzania. Katika taasisi yenye watu 10000 na zaidi nchi nzima unategemea wote wawe watiifu 100% hebu tuache kuwaonea kazi wanafanya tena sana si mtaani kwetu kulikua na wezi sana tukawaomba wawe wanapita wizi umepungua 100%. Sasa Mvaa tai omba polisi wapewe likizo nchi nzima siku mbili uone umuhimu wao!
 
Back
Top Bottom