sifa 15 za mwanamke afaae kuitwa mama

sifa 15 za mwanamke afaae kuitwa mama

handsome1

Senior Member
Joined
Jul 16, 2013
Posts
183
Reaction score
24
1.mwaminifu ktk kila jambo 2.sio mbishi kwa mumewe na watu wengine 3.hadekezi watoto 4.ni msiri kuhusu mambo ya mumewe na ya familia kwa ujumla 5.ana hekima na sio kutwa kutafuta watu na kuropoka siri za familia 6.ni mvumilive 7.ni mwepesi wa kukiri makosa yake na tabia zake ambazo sio njema 8.ni msafi wa mwili,nyumba na mavaz,sio kurundika michupi michafu bafuni nk. 9.mcha mungu ila asiyejiona kuwa yeye yuko perfect 10.anapenda kumpikia na kumfulia mumewe na kumsaidia mambo mbali mbali 11 ni mleta mahusiano mema ktk familia zote 2 sio mchonganish wala mtu wa kulazimisha mambo yake yakubaliwe 12.hana dharau,kibur,hasira na unafik...
 
Hii ni nzur sana.
Mwanamke akiwa kakamilika katika hayo yote na mwanaume vilevile hapo lazima ijengwe familia ya mfano na kuigwa.

Cc. KWA WANAUME WOTE HAMBAO HAWAJAOA.
 
Nzuri mkuu, lakin kumapata mwanamke wa aina hiyo ni kimbembe!! Nadhani "Perfect woman not yet born", tuendelee kusubiri!
 
Hizo ndo tabia za mwanamke unayemtaka wewe, kila mtu anasifa zake za mwanamke anayeona anafaa kuitwa mama"..............mwanamke amchaye Bwana ndiye atakayesifiwa"
 
Ahahaha huyo mtengeneze mwenyewe

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Hizo zote ulizozitaja mleta mada ni tabia na tabia ya mtu inaweza ikabadilika au isibadilike
Hakuna binadamu aliyemkalifu sote tunaishi kwa makosa
Turekebishane pale inapobidi
Swali la kizushi kwa mleta mada kwani ww unapoona chupi zimezagaa bafuni kwako hupaswi kuziokota na kufua?
 
hivi kwenye dunia ya sasa hivi kuna mwanamke wa aina hiyo
 
1.mwaminifu ktk kila jambo 2.sio mbishi kwa mumewe na watu wengine 3.hadekezi watoto 4.ni msiri kuhusu mambo ya mumewe na ya familia kwa ujumla 5.ana hekima na sio kutwa kutafuta watu na kuropoka siri za familia 6.ni mvumilive 7.ni mwepesi wa kukiri makosa yake na tabia zake ambazo sio njema 8.ni msafi wa mwili,nyumba na mavaz,sio kurundika michupi michafu bafuni nk. 9.mcha mungu ila asiyejiona kuwa yeye yuko perfect 10.anapenda kumpikia na kumfulia mumewe na kumsaidia mambo mbali mbali 11 ni mleta mahusiano mema ktk familia zote 2 sio mchonganish wala mtu wa kulazimisha mambo yake yakubaliwe 12.hana dharau,kibur,hasira na unafik...
zote sifa hizo ninazo mkuu
aione Eiyer
 
Last edited by a moderator:
kua mama napo kuna sifa kua mama si ilimradi uwe na kizazi tu unaweza kua mama bora au mama asie bora labda ulikua unazungumzia mke
 
1.mwaminifu ktk kila jambo 2.sio mbishi kwa mumewe na watu wengine 3.hadekezi watoto 4.ni msiri kuhusu mambo ya mumewe na ya familia kwa ujumla 5.ana hekima na sio kutwa kutafuta watu na kuropoka siri za familia 6.ni mvumilive 7.ni mwepesi wa kukiri makosa yake na tabia zake ambazo sio njema 8.ni msafi wa mwili,nyumba na mavaz,sio kurundika michupi michafu bafuni nk. 9.mcha mungu ila asiyejiona kuwa yeye yuko perfect 10.anapenda kumpikia na kumfulia mumewe na kumsaidia mambo mbali mbali 11 ni mleta mahusiano mema ktk familia zote 2 sio mchonganish wala mtu wa kulazimisha mambo yake yakubaliwe 12.hana dharau,kibur,hasira na unafik...

Kwa hali ya sasa, ukikutana na mwenye sifa 7 au 8 kati ya hizo ujihesabu mwenye bahati sana kwani wengi hata hiyo 1 hawana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom