ni tabia yako yakudumu na si kwangu tu na nilishaona kwa watu wengine pia,
Naomba useme hao watu wengine ni wakina nani na kwa ushahidi gani,la sivyo unitake radhi hapahapa!
hakuna mkamilifu na usifikiri watu wanapoongea huku ndio walivyo
Ni kweli hakuna mkamilifu ndio maana nimekukosoa
Kile unachokiongea hapa kinareflect kile kinachoendelea kwenye akili yako unless uwe unafanya masikhara hapa
unawajudge kwa kutumia akili yako no no
Unataka nitumie akili ya nani?
hata kama unajifanya una utambuzi sio hivyo wakati mwingine unakwaza kwa kweli.
Si kweli
Hakuna binadamu mwenye tabia moja,hili umelidhihirisha hapa kwa kuweka tabia zako zaidi ya moja!
1.sipendi kusingiziwa kitu au hali fulani amabayo sivyo nilivyo nakasirika sana
Unakasirika nini ukisingiziwa jambo la uongo?
Unakasirika kweli au unashindana na kilicho ndani mwako kwa hofu?
sababu hunijui hujaishi na mimi at least unaweza kuwa na lakusemakusema
Kwani ni lazima niishi na wewe ili nikujue?
,lakini kusema mimi ni mkorofi,sio mara moja unasema ndoa yangu ya mashaka ,ni ya tabu na bla bla nyngi wakati sio.
Nivea inaonekana huwa hunisomi ukanielewa
Sijawahi kusema wewe ni mkorofi
Ni kweli niliwahi kusema kuhusu ndoa yako kuwa ya mashaka,lakini sikusema kwa asilimia 100,huwa ninasema kwa kiasi ambacho ninakiona kwenye maelezo yako[kumbuka hakuna mwenye uhakika wa asilimia 100]
Lakini kwa post yako hii inaonekana wazi kuna kitu ndani yako unashindana nacho siku ukijisikia unaamua kumwambia yule unaemwamini lakini nakuambia kuna jambo
Hakuna mtu anaechukia tu hivihivi kwa maneno ya mtu ambae anadai hamjui,kwanini usinipuuze tu?
Haya maneno yako uliyosema hapa mengi ni yale yaliyoko akilini mwako na sio niliyosema mimi!
ni sawa na wanaume wa humu amabavyo wanamjugde mtu kama lara 1 ,kumbe hupaswi kusema lolote watu huwa wanauvaa uhalisia tu unakuta ni mtu tofauti na ulivyomdhania .
Hapa siwezi kuwasemea watu wengine lakini hili nalo lina maelezo yake pia!
2.sipendi kulazimishwa kuwa nimefanya jambo fulani ambalo sijalifanya na unanilazimisha nimelifanya na siwezi proove beyond your dought nachukia sana ,ooh ukweli utakuweka huru huwa natafakari sana umri wako wewe1
sory to say this
Hivi kweli
Nivea mimi naweza kukulazimisha jambo?
Kwa kutumia nini hasa/keybord?oooooooooh no!
Kwanini unachukia mambo ya uongo?
Unachukia mambo ya uongo au hupendi kuambiwa ukweli kama ilivyo desturi yetu wanadamu?
Najua karibu kila mwanadamu amejichagulia watu wa kumwambia mambo fulani na hataki kuambiwa mambo hayo na watu fulani,hili ni kosa kubwa,huna haja ya kukasirika kama nimekuambia mambo ya uongo wewe yapuuzie tu!
Nakuhakikishia kuwa kuna mambo unaweza kuyagundua kupitia maandishi au maneno ya mtu,na hapa nazidi kuthibitisha yale niliyokuwa nahisi ni kweli
Pole lakini!
Usidhani labda mimi nina ugomvi wowote na wewe
Nivea !!
Nakupenda kama ninavyowapenda wengine hapa!
Pamoja sana............
😛eace:
😛eace:
😛eace:
😛eace: