Siendi Arusha

Huko ni kukariri, watu wanatia timu. CCM haitishiwi simba wa kuchora. Ushindi unapatikana uwanjani sio mezani.
 


....ni marufuku kuwinda tembo eneo la Arusha....

Arusha hata Nape hatapoteza muda kuchungulia, ataishia Moshi.

Nina hamu kubwa na Mwigulu na Lusinde waje Arusha, wataaibika vilivyo.
 
Mkuu usiende wanataka kukufanya chambo bora umeshituka mapema MATOKEO YA ARUSHA YANAJULIKANA BILA KUFANYA KAMPENI!!!!!!!!!!!!!
 
Nenda tu usije fukuzwa kazi bure tukakosa informer!!
 
mkuu matusi kwenu imekua ndo sera ya chama au
 

Mkuu, kwani huko hakuna Posho, kwanini usiende tu, we nenda, Tafuta Lodge ya Maana, tafuta Mtoto wa Kimasai Kula Maisha, Ndani Mwanzo mwisho
 

Nimevutiwa sana na style yako ya uandishi...!!! Pia nakusisitizia, Usiende Arusha!
 
Siku zote habari za VUTA NKUVUTE hua naziaminia sana,usiende kiongozi waache Magamba wakaumbuliwe.
 
Mkuu nakushauri uende, kama unabaki dodoma ili kuangalia vituko vya wabunge sasa ni muda wa kubadili aina ya vituko, unaachana na vituko vya lusinde,nchemba unaenda kushuhudia vya nape na kinana.
 
waende makomredi,NCHEMBA
LUSINDE
NKAMIA
SERUKAMBA.
wakipiga matusi kidogo tu CHADEMA chaliii!!!
Hamuwatakii mema hao wawakilishi wa wananchi wao? Nina wasiwasi Arusha bado wana kumbukumbu za matusi ya Lusinde kule Arumeru.


Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Mimi na familia yangu tunakwenda kukiadhibu chama cha mapinduzi kwa kuhakikisha CHADEMA inashinda kata zote tano ikiwemo kata yangu.

Nashukuru mungu kina mama, kina baba, vijana na wote wenye vigezo vya kupiga kura wanajua kuwa CCM ni chama cha kiharamia na mkombozi pekee ni CHADEMA.

Tumejiandaa vema kuwatandika ccm na baada ya hapo meya wa kichina tunamtoa kwa kura na halmashauri inarejeshwa kwenye mikono salama ya CHADEMA.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Mkuu POMPO huku usipate shida........................... ni kama unamsukuma mlevi.......
Kumbuka kata ya Daraja II ccm yote ilihamia kule, ukizingatia ilikuwa kata yao, lakini baada ya matokeo walikimbia kila moja njia yake.

Hawakuamin walichokiona,kama Arumeru kwa Nasari vile.,HAKIKA KASKASNI CCM WASAHAU.,Edo yupo pale kwa heshima ya wasee.
 
Last edited by a moderator:
Hakiamungu nawaapia ya kwamba siasa ni mchezo mgumu lakini katika kurudi uchaguzi huu wa sehemu zote zilizowazi nawaakikishieni ya kwamba mafisadi ccm hawatanyakua hata jimbo moja! Hata CDM wasipofanya kampeni nawaambia majimbo yote yako wazi! Hapa A town nawasihi mafisadi wakajaribu bahati yao kwingine na nawapa pole ya kinafiki!
 
Huwa nakukubali mkuu VUTA-NKUVUTE, goma kwenda bwana yanini kujitia aibu huko?
 
Last edited by a moderator:
Ni sehemu ya utalii na kukuza kipato pia sio uchaguzi tu, subiri utakapoona majukwaa ya wasanii na viongozi wa kitaifa na V8 zao kule huku mvua za Takrima zikinyesha vitakavyoshuhudiwa, Halafu Mzungu akisema .... Kuhusu rushwa Tunataka kuandamana kwa kumdhalilisha mkuu wetu.
 
Arusha hata Nape hatapoteza muda kuchungulia, ataishia Moshi.

Nina hamu kubwa na Mwigulu na Lusinde waje Arusha, wataaibika vilivyo.

Jamani hii si nzuri make itaturejesha kwenye kumbukumbu ya majonzi ya USA river RIP kamanda!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…