Sielewi nini shida msaada please

Jaribu kuweka ujazo wa maelezo ili tukusaidie hiyo kitu.
Inauma kwenye ukuta wa ndani, au inauma kwenye kiingilio (mlango wa k)?

ni kwenye mlango wa k.I mean juujuu.na wala siwashwiii wala hakuna uchaf wowote
 

Ndugu unamtakia mema mwenzio kweli? Pilipili kichaa kwenye k? Jamani na tangawizi kwenye K? Mmmmhh!!! Loh! Huu ni uaji......
 
Reactions: BAK
Chemsha maji ya moto tia chumvi kisha uikande kitu yako utapata nafuu.

 
kumbe wew ni me??? aiseee tisha sana nadhan mtwangio wa kinu unataka kuingia kwe tundu la sindano pole kwa maumivu ukubwa huo hehrheheeee
 
Jamani MWANAMALUNDI yuko wapi mbana kapotea sana maana angeshamaliza haya mastori
 

jamaaa alikamia show kweli kweli.
 
!
!
inawezekana akawa na dushe kubwa ila duniani hakuna dushe kubwa ambayo haiwezi penya papuchi. Imepenyaje hilo ndio la muhimu. Zaidi ya hapo nipiem nikusaidie zaidi ili tusipigwe ban.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…