Sielewi nini shida msaada please

Kokubanza-G

Senior Member
Joined
Oct 2, 2013
Posts
111
Reaction score
23
Nina mpenzi wangu tangu tumeanza mahusiano tumekaa mwaka bila kufanya mapenzi.

Wiki moja iliyopita tulifanya kwa mara ya kwanza.

Lakini sasa leo ni siku ya sita hii kitu bado inauma.

Embu nisaidieni ni kawaida nimekaa muda mrefu bila kuduu au jamaa atakuwa na kitu kikubwa kuliko kitu yangu au ni nini.
 

"Kwa nini umetenda dhambi Kokubanza-G kwa nini?"...

Naamini hivyo ndivyo sauti ya Mungu iliyopo ndani yako inakuuliza kwa upole...
 
Last edited by a moderator:
Koku;
Angalia sana. We wafanya utani kila kitu hapa jf. Siku sita bado kunauma?? Isijekuwa kakuachia kaugonjwa humo! Ohooo. Kunauma au kunawasha??
Ulivyombania siku zooote hizo, kulitokea nini tena ukafungua njia? We baku kuwaza ya juzi. Lilikuwa kuubwa usisikie au kalikuwa karefu kembamba sana usisikie kilipogonga mwisho hata kakasukuma ukuta. Weye wa ajabu kweli, ulibaki kujipigia kelele za midadi huku waharibiwa
 
Kweli katiba mpya imeahirishwa.,haya wenye uzoefu wamsaidie,msimlaumu ndiyo kikomo cha uwezo wke wa kufikir hicho.
 
Aiseeeeh embu weka picha tujue kama nigonjwa au ukubwa wa dude.
 
Jaribu kuweka ujazo wa maelezo ili tukusaidie hiyo kitu.
Inauma kwenye ukuta wa ndani, au inauma kwenye kiingilio (mlango wa k)?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…