Sielewi nifanyaje

Sielewi nifanyaje

Hujawa tayari kuwa katika mahusiano mpaka utakapojiamini.
 
jaman kuna mtu kanambia ananipenda sana nlimfkiria kwa mda mrefu nkagundua nami pia nampenda lkn nina waswas baadae hatanipenda tena anajitahidi kila siku kunijulia hali n kwa sasa kaacha kunambia kuwa ananipenda

Huyo mtu umemfahamia wapi?? Anafanya kazi wapi??
 
Mhhh..siku hizi bana....unampiga mtu mistari anakuja kuuliza kwanza jf...kazi kweli...ila sio poa kabisa
 
Ushajitia gundu...kumbuka uwazalo ndo huwa... !
 
Back
Top Bottom