Sielewi kwanini Mbunge wetu Godbless Lema anasota rumande licha ya kuwa na wanasheria wabobezi

Kada wa CHADEMA

JF-Expert Member
Feb 27, 2016
289
615
Peter Kibatala, John Mallya, Tundu Lissu na wengineo hakika ni vyombo tunavyojivunia CHADEMA. Tuliambiwa kuwa vyombo hivi vikisimamia kesi kwa hakika lazima ushindi upatikane. Nakumbuka Tundu Lissu alivyomuita Rais Magufuli Dikteta Uchwara aliwekwa rumande kwa masaa kadhaa. Hata hivyo, baada tu ya kufikishwa Mahakamani hakika ushindi ulikuwa upande wetu.

Najiuliza, nini kimetokea kwa Godbless Lema? Najiuliza pia, ni sababu gani CHADEMA tumeshindwa kuwapeleka nguli wa Mawakili kumtetea Lema? Kwa nini tumepeleka watu dhaifu ukimuoneoa John Mallya kiasi ambacho si tu wameshindwa kupambana na hoja za Serikali lakini pia wanaonesha kukata tamaa mapema? Hawa mawakili wametoka wapi?

Niwaombe sana ndugu zangu wa CHADEMA. Hatumtendei haki Godbless Lema. Hakika akitoka Jela inabidi ajiulize mara mbili. Yaani tunajisikia faraja sana kutumia nguvu zetu na uwezo wetu kisheria kuwatetea akina Denis Wilson, yule aliyemtusi Rais Magufuli? Kwa nini tumemtelekeza Lema? Nini nyuma ya pazia? Au lile andiko lake la kulaani kitendo cha CHADEMA kuwachangia fedha za dhamana wale wanaomtukana Rais? Ndo maana tumeamua kumuacha aozee Selo?

Au tumeamua kukaa kimya baada ya kuamini kuwa Lema anajikaanga mwenyewe kwa maruta yake?
Si sahihi hata kidogo
 
...
.....sauti ile itasikika itapasuwa milima na mabonde nyika na bahari na itazidi milio ya radi na mitetemo ya matetemeko
 
Sababu ni moja tu Mkuu DIKTETA UCHWARA. Kisheria Lema alitakiwa awe amepewa dhamana jana lakini DIKTETA UCHWARA kaamua sharia za nchi ziwekwe pembeni ili tu amkomoe Godbless Lema. Mahakama zinaingiliwa na dikteta uchwara hivyo kupoteza uhuru wake katika kufuata sheria za nchi.

Peter Kibatala, John Mallya, Tundu Lissu na wengineo hakika ni vyombo tunavyojivunia CHADEMA. Tuliambiwa kuwa vyombo hivi vikisimamia kesi kwa hakika lazima ushindi upatikane. Nakumbuka Tundu Lissu alivyomuita Rais Magufuli Dikteta Uchwara aliwekwa rumande kwa masaa kadhaa. Hata hivyo, baada tu ya kufikishwa Mahakamani hakika ushindi ulikuwa upande wetu.

Najiuliza, nini kimetokea kwa Godbless Lema? Najiuliza pia, ni sababu gani CHADEMA tumeshindwa kuwapeleka nguli wa Mawakili kumtetea Lema? Kwa nini tumepeleka watu dhaifu ukimuoneoa John Mallya kiasi ambacho si tu wameshindwa kupambana na hoja za Serikali lakini pia wanaonesha kukata tamaa mapema? Hawa mawakili wametoka wapi?

Niwaombe sana ndugu zangu wa CHADEMA. Hatumtendei haki Godbless Lema. Hakika akitoka Jela inabidi ajiulize mara mbili. Yaani tunajisikia faraja sana kutumia nguvu zetu na uwezo wetu kisheria kuwatetea akina Denis Wilson, yule aliyemtusi Rais Magufuli? Kwa nini tumemtelekeza Lema? Nini nyuma ya pazia? Au lile andiko lake la kulaani kitendo cha CHADEMA kuwachangia fedha za dhamana wale wanaomtukana Rais? Ndo maana tumeamua kumuacha aozee Selo?

Au tumeamua kukaa kimya baada ya kuamini kuwa Lema anajikaanga mwenyewe kwa maruta yake?
Si sahihi hata kidogo
 
Peter Kibatala, John Mallya, Tundu Lissu na wengineo hakika ni vyombo tunavyojivunia CHADEMA. Tuliambiwa kuwa vyombo hivi vikisimamia kesi kwa hakika lazima ushindi upatikane. Nakumbuka Tundu Lissu alivyomuita Rais Magufuli Dikteta Uchwara aliwekwa rumande kwa masaa kadhaa. Hata hivyo, baada tu ya kufikishwa Mahakamani hakika ushindi ulikuwa upande wetu.

Najiuliza, nini kimetokea kwa Godbless Lema? Najiuliza pia, ni sababu gani CHADEMA tumeshindwa kuwapeleka nguli wa Mawakili kumtetea Lema? Kwa nini tumepeleka watu dhaifu ukimuoneoa John Mallya kiasi ambacho si tu wameshindwa kupambana na hoja za Serikali lakini pia wanaonesha kukata tamaa mapema? Hawa mawakili wametoka wapi?

Niwaombe sana ndugu zangu wa CHADEMA. Hatumtendei haki Godbless Lema. Hakika akitoka Jela inabidi ajiulize mara mbili. Yaani tunajisikia faraja sana kutumia nguvu zetu na uwezo wetu kisheria kuwatetea akina Denis Wilson, yule aliyemtusi Rais Magufuli? Kwa nini tumemtelekeza Lema? Nini nyuma ya pazia? Au lile andiko lake la kulaani kitendo cha CHADEMA kuwachangia fedha za dhamana wale wanaomtukana Rais? Ndo maana tumeamua kumuacha aozee Selo?

Au tumeamua kukaa kimya baada ya kuamini kuwa Lema anajikaanga mwenyewe kwa maruta yake?
Si sahihi hata kidogo
Lema itabidi ajitafakari kama mwenzie Mwalimu,aliachwa anasota mahabusu mwezi,chadema walimtosa
 
Peter Kibatala, John Mallya, Tundu Lissu na wengineo hakika ni vyombo tunavyojivunia CHADEMA. Tuliambiwa kuwa vyombo hivi vikisimamia kesi kwa hakika lazima ushindi upatikane. Nakumbuka Tundu Lissu alivyomuita Rais Magufuli Dikteta Uchwara aliwekwa rumande kwa masaa kadhaa. Hata hivyo, baada tu ya kufikishwa Mahakamani hakika ushindi ulikuwa upande wetu.

Najiuliza, nini kimetokea kwa Godbless Lema? Najiuliza pia, ni sababu gani CHADEMA tumeshindwa kuwapeleka nguli wa Mawakili kumtetea Lema? Kwa nini tumepeleka watu dhaifu ukimuoneoa John Mallya kiasi ambacho si tu wameshindwa kupambana na hoja za Serikali lakini pia wanaonesha kukata tamaa mapema? Hawa mawakili wametoka wapi?

Niwaombe sana ndugu zangu wa CHADEMA. Hatumtendei haki Godbless Lema. Hakika akitoka Jela inabidi ajiulize mara mbili. Yaani tunajisikia faraja sana kutumia nguvu zetu na uwezo wetu kisheria kuwatetea akina Denis Wilson, yule aliyemtusi Rais Magufuli? Kwa nini tumemtelekeza Lema? Nini nyuma ya pazia? Au lile andiko lake la kulaani kitendo cha CHADEMA kuwachangia fedha za dhamana wale wanaomtukana Rais? Ndo maana tumeamua kumuacha aozee Selo?

Au tumeamua kukaa kimya baada ya kuamini kuwa Lema anajikaanga mwenyewe kwa maruta yake?
Si sahihi hata kidogo
kumbe jibu unalo mwenyewe..lema anajikanga kwa mafuta yake mwenyewe
 
Yule anatumika kama ngazi tu wakubwa wakishapanda wanamuacha hapohapo watamkumbuka wakitaka kushuka
 
Peter Kibatala, John Mallya, Tundu Lissu na wengineo hakika ni vyombo tunavyojivunia CHADEMA. Tuliambiwa kuwa vyombo hivi vikisimamia kesi kwa hakika lazima ushindi upatikane. Nakumbuka Tundu Lissu alivyomuita Rais Magufuli Dikteta Uchwara aliwekwa rumande kwa masaa kadhaa. Hata hivyo, baada tu ya kufikishwa Mahakamani hakika ushindi ulikuwa upande wetu.

Najiuliza, nini kimetokea kwa Godbless Lema? Najiuliza pia, ni sababu gani CHADEMA tumeshindwa kuwapeleka nguli wa Mawakili kumtetea Lema? Kwa nini tumepeleka watu dhaifu ukimuoneoa John Mallya kiasi ambacho si tu wameshindwa kupambana na hoja za Serikali lakini pia wanaonesha kukata tamaa mapema? Hawa mawakili wametoka wapi?

Niwaombe sana ndugu zangu wa CHADEMA. Hatumtendei haki Godbless Lema. Hakika akitoka Jela inabidi ajiulize mara mbili. Yaani tunajisikia faraja sana kutumia nguvu zetu na uwezo wetu kisheria kuwatetea akina Denis Wilson, yule aliyemtusi Rais Magufuli? Kwa nini tumemtelekeza Lema? Nini nyuma ya pazia? Au lile andiko lake la kulaani kitendo cha CHADEMA kuwachangia fedha za dhamana wale wanaomtukana Rais? Ndo maana tumeamua kumuacha aozee Selo?

Au tumeamua kukaa kimya baada ya kuamini kuwa Lema anajikaanga mwenyewe kwa maruta yake?
Si sahihi hata kidogo
Huyo Tundu Lisu alishanyooka kutoka kumwita Mkulu Dictator uchwara,sasa hivi anamwita mtukufu.Bila shaka Lema naye atanyooka tu na asipobadilika atakua anajimaliza mwenyewe.
 
Peter Kibatala, John Mallya, Tundu Lissu na wengineo hakika ni vyombo tunavyojivunia CHADEMA. Tuliambiwa kuwa vyombo hivi vikisimamia kesi kwa hakika lazima ushindi upatikane. Nakumbuka Tundu Lissu alivyomuita Rais Magufuli Dikteta Uchwara aliwekwa rumande kwa masaa kadhaa. Hata hivyo, baada tu ya kufikishwa Mahakamani hakika ushindi ulikuwa upande wetu.

Najiuliza, nini kimetokea kwa Godbless Lema? Najiuliza pia, ni sababu gani CHADEMA tumeshindwa kuwapeleka nguli wa Mawakili kumtetea Lema? Kwa nini tumepeleka watu dhaifu ukimuoneoa John Mallya kiasi ambacho si tu wameshindwa kupambana na hoja za Serikali lakini pia wanaonesha kukata tamaa mapema? Hawa mawakili wametoka wapi?

Niwaombe sana ndugu zangu wa CHADEMA. Hatumtendei haki Godbless Lema. Hakika akitoka Jela inabidi ajiulize mara mbili. Yaani tunajisikia faraja sana kutumia nguvu zetu na uwezo wetu kisheria kuwatetea akina Denis Wilson, yule aliyemtusi Rais Magufuli? Kwa nini tumemtelekeza Lema? Nini nyuma ya pazia? Au lile andiko lake la kulaani kitendo cha CHADEMA kuwachangia fedha za dhamana wale wanaomtukana Rais? Ndo maana tumeamua kumuacha aozee Selo?

Au tumeamua kukaa kimya baada ya kuamini kuwa Lema anajikaanga mwenyewe kwa maruta yake?
Si sahihi hata kidogo
kamanda atatoka soon tu!





1478979760492.png
 
Sababu ni moja tu Mkuu DIKTETA UCHWARA. Kisheria Lema alitakiwa awe amepewa dhamana jana lakini DIKTETA UCHWARA kaamua sharia za nchi ziwekwe pembeni ili tu amkomoe Godbless Lema. Mahakama zinaingiliwa na dikteta uchwara hivyo kupoteza uhuru wake katika kufuata sheria za nchi.
Kwahiyo hakimu alikua huyo unaemwita Dictator uchwara au?
 
Mh. Godbless Lema!! Ni mwanaharakati, mzalendo, mpigania haki kama wapigania haki wengine hasa upinzani, kinachoendelea huko, tumekuwa tumefungwa macho, hatujui kinachoendelea. Kiukweli kama mtoa hoja alivyosema na kama yupo sahihi, kusema ukweli chama changu hamjatenda haki.. Mh.@tundu lisu please najua kuna jitihada zinazifanywa kuhakikisha mh. lema anapata dhamana lakini tunaomba jitihada zaidi ziongezwe zaidi na zaidi...mpaka haki ipatikane....


Mungu mbariki mpigania haki mwenzetu, Mungu ibariki Tanzania,


N.B

Mungu naomba huyo mtu anayeikandamiza haki yetu, Umsamehe.! Usimlaani ila muonye kuwa anachokifanya hata yeye anaweza kufanyiwa.
 
Sasa we huoni kua sheria imeshashinda we hii nchi si unaijua kuna Mungu anaishi hapa
 
Tunaipenda CCM na tuna imani nayo lakini wanayomfanyia Bwana Lema sio haki.
Sio haki kabisa. Mungu hatajalala.
Wanausalama wetu kuwenu na Ubinaadamu. Bwana Lema ni Mtanzania Mwenzetu. Ni Mwafrika Mwenzetu.
Huu ni uonevu wa wanyonge. Ingekuwa Bwana Lema ni raia wa Ulaya ni Mzungu, mngemganyia haya?
 
Huyo Tundu Lisu alishanyooka kutoka kumwita Mkulu Dictator uchwara,sasa hivi anamwita mtukufu.Bila shaka Lema naye atanyooka tu na asipobadilika atakua anajimaliza mwenyewe.
Ungeelewa maana ya mtukufu.ungeona bora neno dikteta uchwara kuliko neno mtukufu.pole kwa ufahamu wako mdogo mtukufu ni dhihaka zaidi.
 
Peter Kibatala, John Mallya, Tundu Lissu na wengineo hakika ni vyombo tunavyojivunia CHADEMA. Tuliambiwa kuwa vyombo hivi vikisimamia kesi kwa hakika lazima ushindi upatikane. Nakumbuka Tundu Lissu alivyomuita Rais Magufuli Dikteta Uchwara aliwekwa rumande kwa masaa kadhaa. Hata hivyo, baada tu ya kufikishwa Mahakamani hakika ushindi ulikuwa upande wetu.

Najiuliza, nini kimetokea kwa Godbless Lema? Najiuliza pia, ni sababu gani CHADEMA tumeshindwa kuwapeleka nguli wa Mawakili kumtetea Lema? Kwa nini tumepeleka watu dhaifu ukimuoneoa John Mallya kiasi ambacho si tu wameshindwa kupambana na hoja za Serikali lakini pia wanaonesha kukata tamaa mapema? Hawa mawakili wametoka wapi?

Niwaombe sana ndugu zangu wa CHADEMA. Hatumtendei haki Godbless Lema. Hakika akitoka Jela inabidi ajiulize mara mbili. Yaani tunajisikia faraja sana kutumia nguvu zetu na uwezo wetu kisheria kuwatetea akina Denis Wilson, yule aliyemtusi Rais Magufuli? Kwa nini tumemtelekeza Lema? Nini nyuma ya pazia? Au lile andiko lake la kulaani kitendo cha CHADEMA kuwachangia fedha za dhamana wale wanaomtukana Rais? Ndo maana tumeamua kumuacha aozee Selo?

Au tumeamua kukaa kimya baada ya kuamini kuwa Lema anajikaanga mwenyewe kwa maruta yake?
Si sahihi hata kidogo
Ala kumbe mnawatusi watu kwa kutegemea akina Tundu Lissu,nadhani hakuna anayestahili kumtusi mwenzake huku akitegemea mawakili,heshima kitu cha buree ,akina Lissu wamechoka na Lema na jua kesi za kujitakia ni kuingia gharama za bure na kupoteza wakati.wacha achezee debe
 
Back
Top Bottom