Hawa vijana wa ufipa wameshaishiwa kifikraAla kumbe mnawatusi watu kwa kutegemea akina Tundu Lissu,nadhani hakuna anayestahili kumtusi mwenzake huku akitegemea mawakili,heshima kitu cha buree ,akina Lissu wamechoka na Lema na jua kesi za kujitakia ni kuingia gharama za bure na kupoteza wakati.wacha achezee debe
Well said,Kwani CCM ndio iliyomtuma atukane na kumombea mtu kifo,asiyefunzwa na ***** dunia itanfundisha,wacha sheria ifuate mkondo wake
Kwani CCM ndio iliyomtuma atukane na kumombea mtu kifo,asiyefunzwa na ***** dunia itanfundisha,wacha sheria ifuate mkondo wake
Aiseeeee! Umewapa jibu linalotosheleza. Halafu si walisema Lema asipopeww dhamana watakinukisha? Kweli wana Arusha wameshamchoka LemaKwani CCM ndio iliyomtuma atukane na kumombea mtu kifo,asiyefunzwa na ***** dunia itanfundisha,wacha sheria ifuate mkondo wake
Kumfananisha Mandela na huyo mpuuzi wenu ni wendawazimuMandela alikaa miaka 30 jela yeye hata mwezi bado, huo ndio ukamanda wa kweli.
Mbona mnaingilia mambo ya Mungu!Uzuri jamaa ana miaka 4 ya kuishi.
Anayekandamiza haki za watu afe tu ili dunia ibaki mahala salama pa kuishi.Mh. Godbless Lema!! Ni mwanaharakati, mzalendo, mpigania haki kama wapigania haki wengine hasa upinzani, kinachoendelea huko, tumekuwa tumefungwa macho, hatujui kinachoendelea. Kiukweli kama mtoa hoja alivyosema na kama yupo sahihi, kusema ukweli chama changu hamjatenda haki.. Mh.@tundu lisu please najua kuna jitihada zinazifanywa kuhakikisha mh. lema anapata dhamana lakini tunaomba jitihada zaidi ziongezwe zaidi na zaidi...mpaka haki ipatikane....
Mungu mbariki mpigania haki mwenzetu, Mungu ibariki Tanzania,
N.B
Mungu naomba huyo mtu anayeikandamiza haki yetu, Umsamehe.! Usimlaani ila muonye kuwa anachokifanya hata yeye anaweza kufanyiwa.
Tena kuonesha kwamba neno mtukufu is worse than dikteta uchwara ilibidi lisu ashtakiwe tena.Ungeelewa maana ya mtukufu.ungeona bora neno dikteta uchwara kuliko neno mtukufu.pole kwa ufahamu wako mdogo mtukufu ni dhihaka zaidi.
Acheni usokoronyoko nyinyi, kwani alimuombea kifo au alioneshwa maono? Na mnajua maana ya maono nyinyi bata maji?Well said,
Huwezi kumwombea mtu kifo na kutangaza hadharani ety fulan atakufa kabla ya 2020 tena MBAYA ZAIDI NI RAIS WA NCHI,very pain
Hawa ndo vijana tunaowategemea pale Bungeni ili waje watusaidie
Kuwa na busara(staha) ni jambo la msingi sana!
Hakuna kusamehewa hapa !Mh. Godbless Lema!! Ni mwanaharakati, mzalendo, mpigania haki kama wapigania haki wengine hasa upinzani, kinachoendelea huko, tumekuwa tumefungwa macho, hatujui kinachoendelea. Kiukweli kama mtoa hoja alivyosema na kama yupo sahihi, kusema ukweli chama changu hamjatenda haki.. Mh.@tundu lisu please najua kuna jitihada zinazifanywa kuhakikisha mh. lema anapata dhamana lakini tunaomba jitihada zaidi ziongezwe zaidi na zaidi...mpaka haki ipatikane....
Mungu mbariki mpigania haki mwenzetu, Mungu ibariki Tanzania,
N.B
Mungu naomba huyo mtu anayeikandamiza haki yetu, Umsamehe.! Usimlaani ila muonye kuwa anachokifanya hata yeye anaweza kufanyiwa.
Ni sawa na yule aliyetoa thread ya kumlinganisha raisi Jose wa Paraguay na Magu, sasa na mimi nichukue sentensi yakoKumfananisha Mandela na huyo mpuuzi wenu ni wendawazimu
Sijasema mimi.Mbona mnaingilia mambo ya Mungu!
Lema hajachokwa na in fact wakati tuko pale nje mahakaman tunasubr tukiwasheeeee, brother lema akatuomba tusifanye chochote kwasabab kwenda jela ni part ya ukamanda, hii ni arusha bhana raisi wetu lema akitoa maagizo kinuke ni kinanuka areef, ushanidere? si uliskia juzi tuluvowanukishia wale wamiliki wa mgodi wa Tanzania one, ishu tu ni kwamba we respect elders and our leaders, we can't do anything against their directives.Aiseeeee! Umewapa jibu linalotosheleza. Halafu si walisema Lema asipopeww dhamana watakinukisha? Kweli wana Arusha wameshamchoka Lema
Kwahiyo hakimu alikua huyo unaemwita Dictator uchwara au?