Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,714
- 24,892
Nilikuwa na aangalia taarifa ya habari sasa kuna mwanamama akasema akipata pesa atawasomeshea watoto wake.
Sasa hapo nikawaza kama watoto wana baba yao na ni kichwa cha familia, kwanini mama ammbebe mimba na amzalie watoto na bado majukumu ya familia afanye yeye wewe kama baba haki yako iko wapi hapo, na baadae unashangaa watoto wanamjua mama yao .
Kisa wakiwa wanakuhitaji hukuwa unahangaika nao ila wamefanikiwa unataka uwe mstari wa mbele kwa lipi je humu simpo ??
Sasa hapo nikawaza kama watoto wana baba yao na ni kichwa cha familia, kwanini mama ammbebe mimba na amzalie watoto na bado majukumu ya familia afanye yeye wewe kama baba haki yako iko wapi hapo, na baadae unashangaa watoto wanamjua mama yao .
Kisa wakiwa wanakuhitaji hukuwa unahangaika nao ila wamefanikiwa unataka uwe mstari wa mbele kwa lipi je humu simpo ??