Na anainsist kuwa hata kama siko tayari kwa sasa atanisubiri "wee endelea tu maisha yako ukichoka mie nko nakusubiri" ndo alichonambia.
:disapointed:
The person to whom this message was sent to, is out of reach. Please send to altenative path "Mjomba moyo" for immediately response. CC; wanajamiiThanks brother....!!!umenifanya nicheke sana kwenye bold hapo anyway unachosema ni kweli kabsa i wish i could know what my future hold..!!!!All in All i believe in God that everything will turn out perfect for me.
Hii promo nini?If u want to be in a happy marrige, usiolewe na mtu asiyekubalika na wazazi wako;
I have seen people wanajidai wanaweka mapenzi mbele wakipata shida wanashindwa kurudi kwa wazazi
In short, we tulia
ukikosa mtu nicheck PM kuna bosi wangu domo zege sana nitakuunganisha
If u want to be in a happy marrige, usiolewe na mtu asiyekubalika na wazazi wako;
I have seen people wanajidai wanaweka mapenzi mbele wakipata shida wanashindwa kurudi kwa wazazi
In short, we tulia
ukikosa mtu nicheck PM kuna bosi wangu domo zege sana nitakuunganisha
mie ushauri wangu naona wwe umwite maza wako mwambie mama mie nitrafutieni mume maana naona hii idara mie kwisha bugi. am sure mummy will find u a very gud husband. ila itabidi u-apply ile phylosophy ya wahindi...U MARRY FIRST THEN LOVE GROWS" KAMA MIE HAPA AH NIMEPOA ZANGU PEMBENI NAJIGEGEDEA ILA SIKU NATAKA KUOA WALA SITAKI PRESHA WACHA MNIITE MSHANBA BUT I WILL GO TO MY MUM AND ASK HER TO CHOOSE A WIFE FOR ME NATULIZANA ZANGU. WHY? BECAUSE MUM ALWAYS WANTS WATS BEST FOR THEIR CHILD
mie ushauri wangu naona wwe umwite maza wako mwambie mama mie nitrafutieni mume maana naona hii idara mie kwisha bugi. am sure mummy will find u a very gud husband. ila itabidi u-apply ile phylosophy ya wahindi...U MARRY FIRST THEN LOVE GROWS" KAMA MIE HAPA AH NIMEPOA ZANGU PEMBENI NAJIGEGEDEA ILA SIKU NATAKA KUOA WALA SITAKI PRESHA WACHA MNIITE MSHANBA BUT I WILL GO TO MY MUM AND ASK HER TO CHOOSE A WIFE FOR ME NATULIZANA ZANGU. WHY? BECAUSE MUM ALWAYS WANTS WATS BEST FOR THEIR CHILD
Hivi mnajua ndoa zenye the least percentage of divorce duniani ni za waarabu na wahindi ambao wame maintain tradition za arranged marriage!?
Sijui sababu itakua nini?
Na sisi tumeambukizwa western ideology kuwa ndoa inabidi kwanza ujiskie unampenda huyo mtu na uwe una "uhakika" wakati personally naona ni kitu kugumu sana maana feelings of love CHANGE!! Hence kati ya kitu kisichotakiwa kuwa priority kwa mtu unayemwoa au kuolewa ni LOVE!! Au eti unajiskieje moyoni!! Kama leo najiskia 100% kumwoa mtu lakini mwakani nikawa sijiskii tena basi ni grounds za kutosha kuachana nae??
LOVE (as is understood by many) IS NOT THE ANSWER TO A SUCCESFULL MARRIAGE!!
Nyie mnaoneje hii view ukiangalia ukweli wa ndoa katika culture mbalimbali hapa duniani? Ni zipi zinadumu kwa asilimia kubwa, arranged au zinazodai kufwata misingi ya "love"?
Nko katika age ambayo wadada wengi wanatamani sana kuolewa na siwezi kataa hata mimi pia natamani sana atokee wa kunioa.
I have bin single for a while baada ya mwanaume nlieachana nae kuwa too overprotected na wivu wa ajabu sana we planned to marry but nilimpa muda wa miezi sita kwanza tuchunguzane nsije nikavaa mkenge nashukuru sana Mungu kwa maamuzi yangu hayo.
Recently nimekutana na huyu mtu ambaye ananifahamu toka utotoni tumekuwa pamoja na toka siku hizo alikua akiniambia mie ndo ntakuwa mkewe thou sikumweka akilini kabsa.
Tulikua close kama marafiki wa kawaida kwa muda mrefu sana mpaka tulipofika chuo kila mtu akaendelea na maisha yake.
Siwezi kumsema kwa upande wake sababu sijui kwa hakika alichokua akifanya kwa upande wangu nshakuwa katika mahusiano na ni kama I have never been luky pande hizo.
Now he is serious kwamba anataka kunioa na anataka kwenda kujitambulisha home.
Na anainsist kuwa hata kama siko tayari kwa sasa atanisubiri "wee endelea tu maisha yako ukichoka mie nko nakusubiri" ndo alichonambia.
Sielewi cha kufanya sababu
1.Sijawai kumpenda kabsa as mpenzi nampenda kama rafiki yangu wa karibu.
2.Nimechoka kuanzisha mahusiano ambayo hayatadumu.Na i guess am desparate wadogo zangu
wameoa na kuolewa mie nipo nipo tu.
3.Once I was chuo my dad alishwai nambia hatapenda kusikia nimeolewa na kabila fulani ambalo ni
la huyo mwanaume.
Na sidhani kama ni choise ya my mom pia cz enzi hizo alikua akija home
my mom hajawai kumchangamkia na nlikua nashangaa kwa nini.
4.Na wasiwasi na mahusiano yake what if ana mtu ambaye alikua nae serious na labda huyo mdada kawekeza mengi sii ntafanyiwa kitu kibaya jamani i believe in what goes around comes around.
:disapointed:[/QUOTE pole sana mamii,hata mm napitia wkt kama wako ya kupendwa unapohis hupendi ila mm nmeamua kuwa naye cos ananipa kla nnachotaman kupata,anajal na kunipenda kwa dhati...USHAURI:mm naona kuwa nae cos wazazi hawataish na mumeo bali ww,na mwanaume hadi anakuambia anatka kukuoa ni wazi kakukusudia ww na kama huna uhakika fanya uchunguz ubaini je ana mwingne ili kujipunguzia maswali..OLEWA MAMA UNAYEMPENDA WW ANAWEZA KUKUSUMBUA,BT ANAYEKUPENDA ATAKUTHAMINI MAISHA YOTE.