Side hussle

Side hussle

arnjaam

Member
Joined
Feb 23, 2019
Posts
53
Reaction score
28
Mimi ni kijana wa miaka 22 kwa sasa nasoma chuo bachelor of electrical engneering! Nlibahatika kupata pesa so nilinunua bajaji angu Moja na pikipiki so angalau kwa mwezi naingiza kama 700k hivi
Nimepata mkopo wa chuo so ada na Boom napata japo m naongeza kdg tu! So tuseme kwa mwezi take home n kama 600k hivi nkishatoa matumizi yangu yote!
Nimekuja chuo nimegundua kuna mda mwingi sana tunakuwepo tu free so nkawa na wazo la kuanza side hussle angu mwenyewe niwe na gari la uber na bolt nijiiongezee kipato! ila hapo nataka kuchukua mkopo wa gari lisilozidi
7M make nina uhakika wa kulilipa make ata gari hilo sio la starehe ila la kazi kama Vitz au ist!
Jamani naombeni ushauri je ntakua nimefanya maamuzi mazuri make kweri nimejikuta nimekuwa na uhitaji huo make maisha kutegemea tu kumaliza chuo ndo upate pesa n jau sana!
Naombeni ushauri wenu tafadhari ntashukuru sana!🙏🏿🙏🏿
Niko hapa hapa Dar!
 
Mimi ni kijana wa miaka 22 kwa sasa nasoma chuo bachelor of electrical engneering! Nlibahatika kupata pesa so nilinunua bajaji angu Moja na pikipiki so angalau kwa mwezi naingiza kama 700k hivi
Nimepata mkopo wa chuo so ada na Boom napata japo m naongeza kdg tu! So tuseme kwa mwezi take home n kama 600k hivi nkishatoa matumizi yangu yote!
Nimekuja chuo nimegundua kuna mda mwingi sana tunakuwepo tu free so nkawa na wazo la kuanza side hussle angu mwenyewe niwe na gari la uber na bolt nijiiongezee kipato! ila hapo nataka kuchukua mkopo wa gari lisilozidi
7M make nina uhakika wa kulilipa make ata gari hilo sio la starehe ila la kazi kama Vitz au ist!
Jamani naombeni ushauri je ntakua nimefanya maamuzi mazuri make kweri nimejikuta nimekuwa na uhitaji huo make maisha kutegemea tu kumaliza chuo ndo upate pesa n jau sana!
Naombeni ushauri wenu tafadhari ntashukuru sana!🙏🏿🙏🏿
Niko hapa hapa Dar!
Sasa si ufanye biashara ya fani yako hadi uje kumaliza hiyo electrical course utakua bonge la nguli wa umeme,, na huenda ukawa unamiliki kampuni active ... Hizo uber sidhani kama zitakuletea brightly future ..
 
Bachelor Degree hii hii...

Hongera mkuu... keep up
Sawa kaka ila ni kusoma tu kaka asee!!
Kuna mtiti wa ajira huko baadae ndo naogopa asee baadae mambo yatakiwaje sasa ???
 
Sasa si ufanye biashara ya fani yako hadi uje kumaliza hiyo electrical course utakua bonge la nguli wa umeme,, na huenda ukawa unamiliki kampuni active ... Hizo uber sidhani kama zitakuletea brightly future ..
Ni rahisi kusema hivo ila sasa naanzia wapi nafanyaje!! Ndo kitu kigum angalau kma ningekua na mtu wa kunipa kama njia kuwa nifanye hv nifanye hv angalau!!
Au mtu anaefanya mishe hizo tukasiaidiana angalau ila kuanza moja na ambavo m sio mzoefu sana huku Dar n shughuli sio kitoto asee
 
Na
Sasa si ufanye biashara ya fani yako hadi uje kumaliza hiyo electrical course utakua bonge la nguli wa umeme,, na huenda ukawa unamiliki kampuni active ... Hizo uber sidhani kama zitakuletea brightly future ..
Why unazi crush hilo wazo la uber pia ??
 
Na

Why unazi crush hilo wazo la uber pia ?
Sijacrush kiivyo ila uber kwa upande wangu naona ni vision za mtu tusiyemjua so napenda mtu afanye investment ya muda wake kwa vision zake mwenyewe, dsm utaijua tu ni swala la muda tu kwani hata hiyo uber utaendeshaje kama dsm uijui,, so ww fanya hivi angalia maeneo jirani na chuo, mfano km upo UDSM unaweza kwenda changanyikeni au kimara au mabibo tabata unatafuta kaflem kadigo ka elfu 50 kwa mwezi, unaweka vifaa vya umeme aina mbalimbali unauza, them mtafute fundi wa umeme wa mtaani unakuwa nae pale kijiweni kwako mnafanya na troubleshooting ndogo ndogo za umeme au wiring unaweka na huduma hizo ila kazi ya service ikitokea unaenda na huyu jamaa ndio utaanza kujifunza na utakuwa master hatari, take it from me ... Hautojuta after graduation.
 
Asee
Sijacrush kiivyo ila uber kwa upande wangu naona ni vision za mtu tusiyemjua so napenda mtu afanye investment ya muda wake kwa vision zake mwenyewe, dsm utaijua tu ni swala la muda tu kwani hata hiyo uber utaendeshaje kama dsm uijui,, so ww fanya hivi angalia maeneo jirani na chuo, mfano km upo UDSM unaweza kwenda changanyikeni au kimara au mabibo tabata unatafuta kaflem kadigo ka elfu 50 kwa mwezi, unaweka vifaa vya umeme aina mbalimbali unauza, them mtafute fundi wa umeme wa mtaani unakuwa nae pale kijiweni kwako mnafanya na troubleshooting ndogo ndogo za umeme au wiring unaweka na huduma hizo ila kazi ya service ikitokea unaenda na huyu jamaa ndio utaanza kujifunza na utakuwa master hatari, take it from me ... Hautojuta after graduation.
kaka umeongea point ofcoz ila inahitaji mda nikae ntulie niwaze! Make mm nasomea dit broh! Na saa hizi nimechukua ghetto langu hapa manzese! So ntaangalia kaka ila asante wazo lako zuri pia
 
Kama una nodno
Sijacrush kiivyo ila uber kwa upande wangu naona ni vision za mtu tusiyemjua so napenda mtu afanye investment ya muda wake kwa vision zake mwenyewe, dsm utaijua tu ni swala la muda tu kwani hata hiyo uber utaendeshaje kama dsm uijui,, so ww fanya hivi angalia maeneo jirani na chuo, mfano km upo UDSM unaweza kwenda changanyikeni au kimara au mabibo tabata unatafuta kaflem kadigo ka elfu 50 kwa mwezi, unaweka vifaa vya umeme aina mbalimbali unauza, them mtafute fundi wa umeme wa mtaani unakuwa nae pale kijiweni kwako mnafanya na troubleshooting ndogo ndogo za umeme au wiring unaweka na huduma hizo ila kazi ya service ikitokea unaenda na huyu jamaa ndio utaanza kujifunza na utakuwa master hatari, take it from me ... Hautojuta after graduation
Sijacrush kiivyo ila uber kwa upande wangu naona ni vision za mtu tusiyemjua so napenda mtu afanye investment ya muda wake kwa vision zake mwenyewe, dsm utaijua tu ni swala la muda tu kwani hata hiyo uber utaendeshaje kama dsm uijui,, so ww fanya hivi angalia maeneo jirani na chuo, mfano km upo UDSM unaweza kwenda changanyikeni au kimara au mabibo tabata unatafuta kaflem kadigo ka elfu 50 kwa mwezi, unaweka vifaa vya umeme aina mbalimbali unauza, them mtafute fundi wa umeme wa mtaani unakuwa nae pale kijiweni kwako mnafanya na troubleshooting ndogo ndogo za umeme au wiring unaweka na huduma hizo ila kazi ya service ikitokea unaenda na huyu jamaa ndio utaanza kujifunza na utakuwa master hatari, take it from me ... Hautojuta after graduation.
Kama unanondo nyingine zishushe kaka asee 😜😌😅😅 au wazo la kuongezea au idea nyingine
 
Mimi ni kijana wa miaka 22 kwa sasa nasoma chuo bachelor of electrical engneering! Nlibahatika kupata pesa so nilinunua bajaji angu Moja na pikipiki so angalau kwa mwezi naingiza kama 700k hivi
Nimepata mkopo wa chuo so ada na Boom napata japo m naongeza kdg tu! So tuseme kwa mwezi take home n kama 600k hivi nkishatoa matumizi yangu yote!
Nimekuja chuo nimegundua kuna mda mwingi sana tunakuwepo tu free so nkawa na wazo la kuanza side hussle angu mwenyewe niwe na gari la uber na bolt nijiiongezee kipato! ila hapo nataka kuchukua mkopo wa gari lisilozidi
7M make nina uhakika wa kulilipa make ata gari hilo sio la starehe ila la kazi kama Vitz au ist!
Jamani naombeni ushauri je ntakua nimefanya maamuzi mazuri make kweri nimejikuta nimekuwa na uhitaji huo make maisha kutegemea tu kumaliza chuo ndo upate pesa n jau sana!
Naombeni ushauri wenu tafadhari ntashukuru sana!
Niko hapa hapa Dar!
Hiyo bajaji na pikipiki inayoingiza 700k ni wapi hiyo mkuu??
 
Fanya uber hiyo ... kama ipn ndai ya uwezo wako... unatoboa fresh tu huna sababu ya kusita 6.

Fanya sasa!,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom