Super Msouth
Senior Member
- Dec 28, 2014
- 145
- 128
Nawasalimu wanabodi.
Watanzania tunacho cha kujifunza kuelekea uchaguzi unaotarajiwa kufanyika mwaka kutokana na aina ya watia nia ambao mpaka sasa wamejitokeza.
Bunge lililoisha muda wake naona wana mchango katika hili maana kimsingi ni bunge la ajabu na ovyo kupita mabunge yote niloyafahamu tangu nipate ufahamu na kufuatilia siasa (tangu enzi za mzee Msekwa) bunge hili limepekea kuona kila mtu anaweza kuwa mbunge.
Jambo la pili naona watumishi wa uma tena walio kwenye nyazifa za juu wakikimbilia kutia nia bila shaka bungeni kuna ulaji ndo maana wanakimbilia huko.
Hivi mishahara ya wabunge na posho wanazolipwa zikipunguzwa hali itaendelea kuwa kama sasa?
Watanzania tunacho cha kujifunza kuelekea uchaguzi unaotarajiwa kufanyika mwaka kutokana na aina ya watia nia ambao mpaka sasa wamejitokeza.
Bunge lililoisha muda wake naona wana mchango katika hili maana kimsingi ni bunge la ajabu na ovyo kupita mabunge yote niloyafahamu tangu nipate ufahamu na kufuatilia siasa (tangu enzi za mzee Msekwa) bunge hili limepekea kuona kila mtu anaweza kuwa mbunge.
Jambo la pili naona watumishi wa uma tena walio kwenye nyazifa za juu wakikimbilia kutia nia bila shaka bungeni kuna ulaji ndo maana wanakimbilia huko.
Hivi mishahara ya wabunge na posho wanazolipwa zikipunguzwa hali itaendelea kuwa kama sasa?