Hivi nyinyi wenzetu mnaishi wapi.? Mnakuwa kama sio watanzania wa kawaida au kula kulala wa oysterbay.Kwanini mnakuwa always negative kiasi cha kutisha, yaani tayari ushahukumu, ushatoa na adhabu ..why? ama ndo mahaba?
Wafao kwa sababu ya chama au mgombea ni wajinga wakubwa!!..... Marehemu kafa kwa ujinga wake.
Nimepita eneo fulani kuna ofisi za ccm pia wanalaza magari, wana ccm walivyoona hiyo habari itv walishangilia sana, mi nikajua kuna mpira nikasogea, dah watanzania tulipofikia, ni hatari sana
Wafao kwa sababu ya chama au mgombea ni wajinga wakubwa!!..... Marehemu kafa kwa ujinga wake.