Abdul Mluya
Member
- May 28, 2013
- 47
- 25
Ikiwa hali itaendelea kuwa hii basi siasa 2020 itazikwa haiwezekani wao wacheze sisi tupige makofi.
Haiwezekani wao waseme sisi tusikilize.
Haiwezekani wao waende sisi marufuku.
Kwa mbaaaali naiona Tanzania mpya



Haiwezekani wao waseme sisi tusikilize.
Haiwezekani wao waende sisi marufuku.
Kwa mbaaaali naiona Tanzania mpya



