Siasa za 2015, kurudi nyuma, ndizo zilikuwa siasa za hoja, na si hizi za kuitana chawa na nyumbu. Hizi ni za watu ambao hawajui siasa na uongozi!

Siasa za 2015, kurudi nyuma, ndizo zilikuwa siasa za hoja, na si hizi za kuitana chawa na nyumbu. Hizi ni za watu ambao hawajui siasa na uongozi!

Kwa kukusaidia tu, hizo njia za kidemokrasia huwa zinachukua muda sana kuleta mabadiliko. Lakini njia machafuko kwa huku afrika zinaleta mabadiliko ya haraka sana. Watu wamedai mabadiliko kwa zaidi ya miaka 30 lakini ccm wakatia pamba masikioni, lakini machafuko ya juzi tayari kila mtu amekaa kwenye mstari na yuko tayari kwa mabadiliko. Na wakigoma machafuko makubwa zaidi ndio yataleta mabadiliko ya kweli. Hizo njia zako za amani tumia ww tuone kama utapata mabadiliko yoyote ya kweli. Ila mimi naamini njia ya machafuko ni ya hatari ila ina matokeo ya haraka.


Wewe ni MTU mbinafsi - na hautaweza kuleta mabadiliko kwakuwa unataka shortcut way
 
Mkuu CCM imefanya sana uwekezaji mkuu kuanzia ktk grassroots*
Uwekezaji wakati tayari kizazi kimebadilika? Yaani kuwa na ofisi kila kijiji unadhani ndio kukubalika? Dunia ya sasa ushawishi sio kuwa na ofisi kila mtaa, bali ni watu kukubali. Uhalisia unakataa kinachoendelea kwenye chaguzi zetu hakiakisi usemacho. Voters turn out ya juzi inakaa hii nadharia yako. Ukweli ni kuwa ushawishi wa ccm umefikia mwisho, na hii ni tokea 2010, lakini mbeleko ya vyombo vya dola imechangia sana ccm kubaki madarakani hadi leo, na matokeo yake ndio haya mauji ya halaiki ili ccm isalie madarakani
 
Mpo kwa maslahi yapi wakati hakuna anayewasikiliza? Kwa taarifa yako Gen Z kupitia machafuko ya juzi, wana impact ya uhakika kuliko ww na hizi story zako kama uji uliopoa usio na sukari. Naamini machafuko ni njia ya hatari ila sahihi ya kupata mabadiliko unapotawaliwa na vyama vikongwe visivyo tayari kwa mabadiliko.
Hii movement yetu imewapa vijana mwanga wa kujitambua,na hata wadau wengi jf wameanza kujitokeza na kupinga fujo na vurugu

Utasemaje hatusikilizwi, mpaka mnaambiana musisie nyuzi zetu kuonyesha jinsi gani movement ilivyokuwa powerfully sana
 
Hii movement yetu imewapa vijana mwanga wa kujitambua,na hata wadau wengi jf wameanza kujitokeza na kupinga fujo na vurugu

Utasemaje hatusikilizwi, mpaka mnaambiana musisie nyuzi zetu kuonyesha jinsi gani movement ilivyokuwa powerfully sana
Hakuna anayekusikiliza, kama watu hawajaandamana ni kwa sababu zao sio kwa hizi post zako. Huna ushawishi wowote tangible unaoweza kusema kusema kuna anayekusikiliza.

Mimi sina popote ninapoogopa nyuzi zenu, labda kama unataka kuonyesha nyuzi zako zina impact. Mimi binafsi naziona za kawaida sana. Ziwepo zisiwepo sioni popote zinapotengeneza ushawishi, maana ww sio member mwenye mvuto huku jf. Sidhani kama kuna post yako yoyote iliyofikisha wachangiaji 100, bila kujali umesema nini. Usijipe umuhimu usiokuwa nao.
 
Samia hawezi na hataweza kubisha kwa hoja hata siku moja, yeye kabobea kwenye mipasho kama Hadija Kopa.

Yeye badala ya kujibu hoja za TEC anaanza kupasha.

Nyambafu sana.
 
Hakuna anayekusikiliza, kama watu hawajaandamana ni kwa sababu zao sio kwa hizi post zako. Huna ushawishi wowote tangible unaoweza kusema kusema kuna anayekusikiliza.

Mimi sina popote ninapoogopa nyuzi zenu, labda kama unataka kuonyesha nyuzi zako zina impact. Mimi binafsi naziona za kawaida sana. Ziwepo zisiwepo sioni popote zinapotengeneza ushawishi, maana ww sio member mwenye mvuto huku jf. Sidhani kama kuna post yako yoyote iliyofikisha wachangiaji 100, bila kujali umesema nini. Usijipe umuhimu usiokuwa nao.
Huo ni mtazamo wako na maoni yako ,mabalozi wa amani wote tumeraise awareness kwa juhudi kubwa na watu wametuelewa

Numbers does not count but ajenda ambayo inawafunua watu ubongo na kuona reality

Sasa kama wewe hushawishiki it's your own problem

Are you following brother
 
Naona siasa za HOJA Kama either zimekufa au watu wameacha kabisa kupambana na tatizo Ila wanapambana na MTU aliyeibua tatizo inafikirisha

KITENDO CHA WATU KUTUKANA MATUSI NI ISHARA KUWA UWEZO WA WATU KUJADILI HOJA NDO UNAELEKEA MWISHO KAMA SIO KUFA KABISA


Movement
yoyote haiwezi ikawa na uhai ikiwa wanaoratibu na kuongoza hiyo movement ni WATU wa kutukana matusi na kumjadili mtoa hoja na sio hoja


Hili ni tatizo la unafsi linaloweza kupelekea wachache kutawala siasa za Tanzania muda mrefu


Je ni kweli wanaokosea ni CCM tu Ila wapinzani ni malaika wa MUNGU.!!??


Ukifatilia utagundua kuna tatizo la unafsi linawasumbua WATU.

Simaaniishi Mimi ninayeandika hapa nipo sahihi Ila hata Mimi nahitaji kujirekebisha kupitia hiki nilichoandika


Jambo la kuwahukumu WATU tujaribu kuachana nalo kwakuwa hilo ni jambo rahisi ,

Ila tuanze kujihukumu sisi kwa sisi ambalo ndo jambo gumu zaidi.
Waliopinga mamlaka walitekwa kama sasa, zuieni watekaji ili mpate watu wenye hoja
 
Huo ni mtazamo wako na maoni yako ,mabalozi wa amani wote tumeraise awareness kwa juhudi kubwa na watu wametuelewa

Numbers does not count but ajenda ambayo inawafunua watu ubongo na kuona reality

Sasa kama wewe hushawishiki it's your own problem

Are you following brother
Huna ushawishi huo, sana sana ni ww binafsi unadhani una ushawishi huo. Ukitaka kujua ushawishi wako ni wa kiwango gani, pitia uzi wako una wachangiaji wangapi, na post ngapi zimechangia positive kwenye post zako, hapo ndio utajua agenda yako inafika kwa kiwango gani.
 
Huna ushawishi huo, sana sana ni ww binafsi unadhani una ushawishi huo. Ukitaka kujua ushawishi wako ni wa kiwango gani, pitia uzi wako una wachangiaji wangapi, na post ngapi zimechangia positive kwenye post zako, hapo ndio utajua agenda yako inafika kwa kiwango gani.
Kwahiyo kumbe unapima ujumbe wa mtu kutokana na likes na comments,pole sana, toka lini watu wakavutiwa na ukweli unaowaumiza

Kitendo cha watu kususia nyuzi zetu na kuhamasishana kutosoma au kucxomment ilikuwa ni dalili tosha kwamba ujumbe ulikuwa mzito kwao kuubeba

Lakini pamoja na kuhamasishana huo ujinga bado tulipata engagement na views zikawa nyingi

Listen bro watu wanajua yupi anaongea kweli na yupi ni mzushi,ndio maana bado tulipata wasomaji

Wewe ni nani uwasemee watu?

Are you following brother?
 
Kwahiyo kumbe unapima ujumbe wa mtu kutokana na likes na comments,pole sana, toka lini watu wakavutiwa na ukweli unaowaumiza

Kitendo cha watu kususia nyuzi zetu na kuhamasishana kutosoma au kucxomment ilikuwa ni dalili tosha kwamba ujumbe ulikuwa mzito kwao kuubeba

Lakini pamoja na kuhamasishana huo ujinga bado tulipata engagement na views zikawa nyingi

Listen bro watu wanajua yupi anaongea kweli na yupi ni mzushi,ndio maana bado tulipata wasomaji

Wewe ni nani uwasemee watu?

Are you following brother?
Wasomaji hawajaanzia kwenye nyuzi zako. Raection unazopata kwenye nyuzi zako ndio kiwango cha ujumbe wako umefika vipi. Mimi siwasemei watu, bali mimi ndio mtu mwenyewe. Nasisitiza, huna nguvu hiyo unayodhani unayo, sikuzuii kujipa imani, but you are nothing in this platform.
 
Huna ushawishi huo, sana sana ni ww binafsi unadhani una ushawishi huo. Ukitaka kujua ushawishi wako ni wa kiwango gani, pitia uzi wako una wachangiaji wangapi, na post ngapi zimechangia positive kwenye post zako, hapo ndio utajua agenda yako inafika kwa kiwango gani.
Kwahiyo kumbe unapima ujumbe wa mtu kutokana na likes na comments,pole sana, toka lini watu wakavutiwa na ukweli unawaumiza

Kitendo cha watu kususia nyuzi zetu na kuhamasishana kutosoma au kucxomment ilikuwa ni dalili tosha kwamba ujumbe ulikuwa mzito kwao kuubeba

Lakini pamoja na kuhamasishana huo ujinga bado tulipata engagement na views zikawa nyingi

Listen bro watu wanajua yupi anaongea kweli na yupi ni mzushi,ndio maana bado tulipata wasomaji

Wewe ni nani uwasemee watu?

Are you following brother
Wasomaji hawajaanzia kwenye nyuzi zako. Raection unazopata kwenye nyuzi zako ndio kiwango cha ujumbe wako umefika vipi. Mimi siwasemei watu, bali mimi ndio mtu mwenyewe. Nasisitiza, huna nguvu hiyo unayodhani unayo, sikuzuii kujipa imani, but you are nothing in this platform.
Turahisishe mambo yasiwe mengi,mimi wala wewe hatuwezi kuwasemea watu au kujua hisia zao

Ila kitendo cha watu wengi kuafikiana na ujumbe wa amani na kukataa Maandamano ambayo ndio chanzo cha vurugu, basi ujumbe huu unaogea zaidi Kuliko unavyodhani

Asante
 
Kwahiyo kumbe unapima ujumbe wa mtu kutokana na likes na comments,pole sana, toka lini watu wakavutiwa na ukweli unawaumiza

Kitendo cha watu kususia nyuzi zetu na kuhamasishana kutosoma au kucxomment ilikuwa ni dalili tosha kwamba ujumbe ulikuwa mzito kwao kuubeba

Lakini pamoja na kuhamasishana huo ujinga bado tulipata engagement na views zikawa nyingi

Listen bro watu wanajua yupi anaongea kweli na yupi ni mzushi,ndio maana bado tulipata wasomaji

Wewe ni nani uwasemee watu?

Are you following brother

Turahisishe mambo yasiwe mengi,mimi wala wewe hatuwezi kuwasemea watu au kujua hisia zao

Ila kitendo cha watu wengi kuafikiana na ujumbe wa amani na kukataa Maandamano ambayo ndio chanzo cha vurugu, basi ujumbe huu unaogea zaidi Kuliko unavyodhani

Asante
Hawajafuata ulichosema ww. Usitake kufanya kama hawajaandamana, basi ni kutokana na ujumbe wako. Ww nakufananisha na watu wanaotabiri kwamba hapa nchini mwezi April itanyesha mvua nyingi, wakati kiuhalisia mwezi wa nne ni kipindi cha masika hata usipotabiri mvua itakuwa nyingi tu. Nasisitiza usije umuhimu usiokuwa nao.
 
Tumeshatumia sana hoja lakini hamtusikilizi, ngoja tuchanganye na lugha ngumu sasa labda ndio tutaenda sawa!
Na serikali hii haramu ili kukabiliana na wakosoaji nayo (kwa akili ya samuya) imeamua kuajiri machawa wa kutosha kuitetea kwa lugha zote ukiwamo hata na udini(bakwata)!
 
Back
Top Bottom