Siasa za 2015, kurudi nyuma, ndizo zilikuwa siasa za hoja, na si hizi za kuitana chawa na nyumbu. Hizi ni za watu ambao hawajui siasa na uongozi!

Siasa za 2015, kurudi nyuma, ndizo zilikuwa siasa za hoja, na si hizi za kuitana chawa na nyumbu. Hizi ni za watu ambao hawajui siasa na uongozi!

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
31,636
Reaction score
81,533
Naona siasa za HOJA Kama either zimekufa au watu wameacha kabisa kupambana na tatizo Ila wanapambana na MTU aliyeibua tatizo inafikirisha

KITENDO CHA WATU KUTUKANA MATUSI NI ISHARA KUWA UWEZO WA WATU KUJADILI HOJA NDO UNAELEKEA MWISHO KAMA SIO KUFA KABISA


Movement
yoyote haiwezi ikawa na uhai ikiwa wanaoratibu na kuongoza hiyo movement ni WATU wa kutukana matusi na kumjadili mtoa hoja na sio hoja


Hili ni tatizo la unafsi linaloweza kupelekea wachache kutawala siasa za Tanzania muda mrefu


Je ni kweli wanaokosea ni CCM tu Ila wapinzani ni malaika wa MUNGU.!!??


Ukifatilia utagundua kuna tatizo la unafsi linawasumbua WATU.

Simaaniishi Mimi ninayeandika hapa nipo sahihi Ila hata Mimi nahitaji kujirekebisha kupitia hiki nilichoandika


Jambo la kuwahukumu WATU tujaribu kuachana nalo kwakuwa hilo ni jambo rahisi ,

Ila tuanze kujihukumu sisi kwa sisi ambalo ndo jambo gumu zaidi.
 
Kama tabia zako na hulka yako inafanana na hiyo hali ya "UCHAWA" kwanini usiitwe hivyo?
Zaidi ya hapo naweza kusema tu kua ...... Huwezi kujibizana kwa hoja na mtu mwenye vinasaba vya uchawa maana hata utumie hoja yeye hawezi maana kuamua kukujibu kwa hoja inabidi avue vazi lake la uchawa (kitu ambacho hawezi)
 
Kama tabia zako na hulka yako inafanana na hiyo hali ya "UCHAWA" kwanini usiitwe hivyo?
Zaidi ya hapo naweza kusema tu kua ...... Huwezi kujibizana kwa hoja na mtu mwenye vinasaba vya uchawa maana hata utumie hoja yeye hawezi maana kuamua kukujibu kwa hoja inabidi avue vazi lake la uchawa (kitu ambacho hawezi)
TUNAWEZA KUJISAHIHISHA KUANZIA HAPO BILA KUTUMIA MATUSI, KITENDO CHA KUTUMIA MATUSI UJUE UNAKUWA UNAHASHIRIA UMEFIRISIKA
 
Sasa unahisi watu wataletaje hoja kwenye taifa ambalo ukiongea point ya maana ni angalau upewe kesi ya uhaini au wakupoteze kabisa
Wengi hawazungumzi hoja Ila wanazungumza MTU.


Unafikiri kwanini hawaogopi kutukana matusi Ila wanaogopa kujadili hoja ?....
 
Naona siasa za HOJA Kama either zimekufa au watu wameacha kabisa kupambana na tatizo Ila wanapambana na MTU aliyeibua tatizo inafikirisha

KITENDO CHA WATU KUTUKANA MATUSI NI ISHARA KUWA UWEZO WA WATU KUJADILI HOJA NDO UNAELEKEA MWISHO KAMA SIO KUFA KABISA


Movement
yoyote haiwezi ikawa na uhai ikiwa wanaoratibu na kuongoza hiyo movement ni WATU wa kutukana matusi na kumjadili mtoa hoja na sio hoja


Hili ni tatizo la unafsi linaloweza kupelekea wachache kutawala siasa za Tanzania muda mrefu


Je ni kweli wanaokosea ni CCM tu Ila wapinzani ni malaika wa MUNGU.!!??


Ukifatilia utagundua kuna tatizo la unafsi linawasumbua WATU.

Simaaniishi Mimi ninayeandika hapa nipo sahihi Ila hata Mimi nahitaji kujirekebisha kupitia hiki nilichoandika


Jambo la kuwahukumu WATU tujaribu kuachana nalo kwakuwa hilo ni jambo rahisi ,

Ila tuanze kujihukumu sisi kwa sisi ambalo ndo jambo gumu zaidi.
Siasa ni kushindana kwa hoja na siyo kutekana na kuuwana,

Siasa za aina hii ndo zimeleta yote hayo unayosema HAYA LAND HOV
 
Kutumia matusi sio umefirisika, bali umekataa kutumia seli zako za Ubongo kutafakari na kujibizana na mfugo wa mfumo (ni sawa na kumfundisha mbwa kutumia choo)


Je matusi yanakujenga au yanakubomoa zaidi ?

Unajua kuwa Matusi hayana uwezo wa kushawishi watu wakubaliane na wewe

Ila hoja zako zinaweza kubeba dhima hiyo ya kuvuta WATU.


Kumbuka amabaye huwa Ana gain ni yule anayetukanwa zaidi.
 
Wenzetu wa upinzani wanachanganya kati ya uhuru wa kutoa maoni na uhuru wa kutukana. Katiba haijatoa haki ya uhuru wa kutukana. Huwezi kujitokeza hadharani ukamshambulia mtu kwa maneno machafu ukadhani itaendelea kuwa salama kwako. Unayemtukana ana ndugu, marafiki na jamaa ambao wanaweza wasikusamehe.
 
Naona siasa za HOJA Kama either zimekufa au watu wameacha kabisa kupambana na tatizo Ila wanapambana na MTU aliyeibua tatizo inafikirisha

KITENDO CHA WATU KUTUKANA MATUSI NI ISHARA KUWA UWEZO WA WATU KUJADILI HOJA NDO UNAELEKEA MWISHO KAMA SIO KUFA KABISA


Movement
yoyote haiwezi ikawa na uhai ikiwa wanaoratibu na kuongoza hiyo movement ni WATU wa kutukana matusi na kumjadili mtoa hoja na sio hoja


Hili ni tatizo la unafsi linaloweza kupelekea wachache kutawala siasa za Tanzania muda mrefu


Je ni kweli wanaokosea ni CCM tu Ila wapinzani ni malaika wa MUNGU.!!??


Ukifatilia utagundua kuna tatizo la unafsi linawasumbua WATU.

Simaaniishi Mimi ninayeandika hapa nipo sahihi Ila hata Mimi nahitaji kujirekebisha kupitia hiki nilichoandika


Jambo la kuwahukumu WATU tujaribu kuachana nalo kwakuwa hilo ni jambo rahisi ,

Ila tuanze kujihukumu sisi kwa sisi ambalo ndo jambo gumu zaidi.
Itolewayo inayoitwa siasa,je sio anguo lachawa wa kizazi hiki cha siasa?
 
Wengi hawazungumzi hoja Ila wanazungumza MTU.


Unafikiri kwanini hawaogopi kutukana matusi Ila wanaogopa kujadili hoja ?....
Nani kaongelea hoja Tanzania bila kutekwa ,kufunguliwa kesi au kutishiwa maisha yeye au familia yake?????
 
Wenzetu wa upinzani wanachanganya kati ya uhuru wa kutoa maoni na uhuru wa kutukana. Katiba haijatoa haki ya uhuru wa kutukana. Huwezi kujitokeza hadharani ukamshambulia mtu kwa maneno machafu ukadhani itaendelea kuwa salama kwako. Unayemtukana ana ndugu, marafiki na jamaa ambao wanaweza wasikusamehe.
Word👊🏼
 
Sasa huyo uliyemtaja si ndio wale wale wafunguliwa kesi mkuu


Mnyika hajawahi kupata kesi inayotokana na matamko au hoja zake

Waweza kufatilia.

Nimemtolea mfano , Kama MTU ambaye huwa hajikiti katika kumshambulia MTU Ila anashambulia zile hoja zake.


Nadhani vijana wanabidi kuchota Sana Maarifa kutoka kwa JJ Mnyika
 
Mnyika hajawahi kupata kesi inayotokana na matamko au hoja zake

Waweza kufatilia.

Nimemtolea mfano , Kama MTU ambaye huwa hajikiti katika kumshambulia MTU Ila anashambulia zile hoja zake.


Nadhani vijana wanabidi kuchota Sana Maarifa kutoka kwa JJ Mnyika
Sawa basi na tuseme ni haki kumteka Yule anayekupinga???
 
Matusi hoyeeeeee!
Asante recho dangwa kiboko yao.

Issue ni kukipa kitu uhai

Kuna tofauti ya kuwa on trending na kuwa relevant .


Hauwezi ukawa relevant ikiwa hauna Positive influence , uwe mwanasiasa , msanii , mcheza mpira n.k

Dangwa anachofanya kwa sasa is trending Ila she can't be relevant after five years from now.


Kwakuwa kinachodumu ni kile ulichojenga akilini mwa watu na katika mioyo yao
 
Sawa basi na tuseme ni haki kumteka Yule anayekupinga???


Sio haki , Ila kila utawala huwa Una certain code , za Ku-survive

You have to learn it .

Kila utawala wapo watu ambao huumizwa kuanzia Nyerere na sasa SSH.

So njia za Ku-survive katika siasa nyepesi na ngumu lazima tuzielewe .


Sheria na kanuni hizi huwa zipo formatly and not real.

Kwahiyo hata jambo halipo ktk katiba au sheria haimanii hilo jambo ni halali.

Muelewe kiongozi wako wa muda huo ujue njia za kuishi nae na kuwa safe.
 
Back
Top Bottom