Naamini wadau mmeona jana kilichotokea Arusha,najaribu kuifikiria nchi yangu baada ya miaka mitano ijayo siipati picha itakuaje kama mambo yale yataendelea kutokea mara kwa mara kwani naamini uwezekano huo ni mkubwa sana endapo uonevu usio na mantiki utaendelea kutendeka...................
!!!!!!!!!!!!!!!!!!!.