Jacque Maritain
Member
- Mar 6, 2010
- 44
- 10
Naomba watu wanaofikiri kimantiki wanisaidie kwani mimi nashindwa kuelewa!
Endapo Mheshimiwa Rostam aliachia ngazi kwa ajilli ya SIASA ZA KIUCHWARA ndani ya chama chake... inakuwaje anampigia debe mtu wa kumrithi kwa chama kile kile na eneo lile lile!
Je?
Je siasa za uchwara zimeisha?
Huyu anayempigia debe, yeye hatakumbwa na siasa hizo
Je aliachishwa au aliacha?
Endapo Mheshimiwa Rostam aliachia ngazi kwa ajilli ya SIASA ZA KIUCHWARA ndani ya chama chake... inakuwaje anampigia debe mtu wa kumrithi kwa chama kile kile na eneo lile lile!
Je?
Je siasa za uchwara zimeisha?
Huyu anayempigia debe, yeye hatakumbwa na siasa hizo
Je aliachishwa au aliacha?